TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Hivi Ni kIna Nani hao waliokwenda huko ulaya kufuata chanjo kimya kimya halafu wakatuletea Corona ya ajabu ajabu? Nimeshaanza kuona hao ndio maadui wa Taifa!!
Unamaanisha kwamba hawa wanaokufa kwa sasa walienda kuchanja nje kwa siri?.

Mbona huyu marehemu Jirani yangu amekufa kwa covid 2021,hajui hata pass ya kusafiria ikoje.
Au atakuwa kaambukizwa na walioenda kuchanja kwa siri.
 
Kifo cha Maali ni pigo kubwa sana hasa kwa upande wa upinzani. Maalm alikua mwanasiasi na sio mwana vihoja.

Sidhani kama maridhiano kile smz yatakuwepo kama waliobaki ni sampuli ya bwana kabwe, tuna safari ndefu sana kumpata kiongozi kama Maalim.
 
Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.

View attachment 1705005

View attachment 1705003
Balozi John Kijazi enzi za uhai wake
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi

CURRICULUM VITAE

NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons

EDUCATION
  • Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
  • Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
CAREER
  • 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
  • Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
LANGUAGES
English, Swahili
RIP KIONGOZI
 
Zito naomba usione uZito kunijibu maana swali siyo Zito! Nani amekutangazia kuwa mheshimiwa Kijazi amekufa kwa corona? Tuwekee ushahidi hapa.
 
Anachotafuta Ibilisi ni ukiri wa Rais kuwa Tanzania Kuna corona!! Can you imagine! Walio wa rohoni wanajua kinachotafutwa!! Kinachotafutwa ni kubatilisha uponyaji wetu Kama Taifa dhidi ya Corona!! Hicho Ibilisi hukipati!! Mungu ametuponya na gonjwa la corona full stop! Anayeamini hivyo itakuwa hivyo kwake, asiyeamini hivyo, anaikaribisha corona nyumbani wake! As simple as that!!
 
Mimi mwenyewe nakoa kohoa nina mafua halafu nko kwenye Harusi du
 
Napenda upinzani 100% ila kwa hili mpaka wanaboa sasa asee

hata mm nlikua upinzani 2015 kurudi nyuma, na nna ndugu yangu ni kiongozi mkubwa wa upinzani nchi hii lakini hawa ndo upinzani wetu, bila kusahau maombi ya kuwekea vikwazo nchi yao, na kuna mpuuzi mwingine anasema Mungu wabariki wazungu!
 
Instagram media - CLJ5wszhIcH ( 750 X 640 ).jpg
 
Je VIP walio wengi wamepata chanjo ya Korona? Na kama hii ni kweli chanjo imetoa matokeo chanya? Je Korona ipo Tanzania? Na kama ipo ikitangazwa kuwa ipo je itasaidia kuokoa maisha ya watu wengi?
Ndo umeandika makorokoncho gani hapa?
 
Back
Top Bottom