Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Kosa moja halihalalishi kosa jingineZito aache utapeli, kuna ushahidi kibao wa watu kuuwawa ili ccm wake madarakani hasa huko Zanzibar, ni hatua ipi alichukua zaidi ya wao kwenda kuungana na wauaji kwa ghiliba ya kuliponya taifa?