TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Zitto anafahamu fika kwamba hili halina impact yoyoye na labda kaandika kutoa frustrations zake tu baada ya kifo cha Maalim Seif

Hiyo kesi ataenda kuifungulia wapi? ICC? Kwanini tusianze kwanza na wale walipigwa risasi wakati wa kumsikila Dr. Mwinyi?
Halitakuwa na impact na watu kama wewe. Ushauri huu wa Zitto tuusikilize na tutende alivyoagiza. Hili litatuwezesha kuwanya wahisika kufanya kazi zao bila kudharau maisha ya watanzania
 
thumbnail_1560181784337.jpg


 
Corona siyo ugonjwa wa aibu lakini taarifa rasmi tuliyopewa haijasema marehemu amekufa kwa corona. Kama wewe una taarifa hiyo tuwekee ushahidi hapa. Sasa inaelekea kila anayefariki inadaiwa ni corona kana kwamba corona ndio sababu pekee ya vifo!! Sijui kwa nini watu wanaishabikia corona hivi!
Kwa hiyo wewe unaona Kuna watu wanalilia kuugua korona? Kwani kinachoifantmya korona isiwe korona Ni kusema tu kuwzma si korona?

Mkuu kama nj korona itabak Kuwa korona tu hata Kama ukisena si korona mradi ni korona itabaki kuwa korona tu.
 
Na sie tunaofiwa kwa Malaria, Ukimwi, TB, Kisukari, Kiharusi, Kipindipindu, tunapeleka wapi takwimu n tunampindua nani?

Hakuna watu wapumbavu kama wanasiasa wa nchi hii.
 
Ukweli unabaki pale pale kwamba ni Serikali haramu ambayo Watanzania hatukuipa ridhaa ya kuwepo madarakani hivyo wakaamua kufanya uhuni na ujambazi kwa kuiba na kuua ili kung’ang’ania madarakani.
Hivi Tundu Lissu kumbe anatambua nyadhifa za viongozi wa serikali hii😲😲😲.
 
Ukweli unabaki pale pale kwamba ni Serikali haramu ambayo Watanzania hatukuipa ridhaa ya kuwepo madarakani hivyo wakaamua kufanya uhuni na ujambazi kwa kuiba na kuua ili kung’ang’ania madarakani.
Wapo walioipigia kura, na wengi walioipinga hawakwenda kupiga kura. Lakini hayo tuwaachie wanasiasa.

Anyway, nimeshangaa tu kuona TL anasema ´´(we´ve) tumepoteza.... alafu anataja nyadhifa zao´´, acknowledging hawa ni viongozi wetu na yeye akiwemo.
 
Tutawaachiaje wanasiasa wakati sisi ndiyo wapiga kura tunaodhulumiwa haki zetu kuamua viongozi tuwatakao? Wewe vipi!? 😳😳😳
Wapo walioipigia kura, na wengi walioipinga hawakwenda kupiga kura. Lakini hayo tuwaachie wanasiasa.

Anyway, nimeshangaa tu kuona TL anasema ´´(we´ve) tumepoteza.... alafu anataja nyadhifa zao´´, acknowledging hawa ni viongozi wetu na yeye akiwemo.
 
Tutawaachiaje wanasiasa wakati sisi ndiyo wapiga kura tunaodhulumiwa haki zetu kuamua viongozi tuwatakao? Wewe vipi!? 😳😳😳
Haya ngoja mie niwaachie nyie mliopiga kura.

Binafsi sikwenda kupiga kura.
 
Huoni umuhimu wa kupiga kura lakini hapo hapo unataka waliopiga kura na haki zao za kuchagua viongozi wawatakao kudhulumiwa wakae kimya wawaachie wanasiasa!!! 😳😳😳😳😳
Haya ngoja mie niwaachie nyie mliopiga kura.

Binafsi sikwenda kupiga kura.
 
Huoni umuhimu wa kupiga kura lakini hapo hapo unataka waliopiga kura na haki zao za kuchagua viongozi wawatakao kudhulumiwa wakae kimya wawaachie wanasiasa!!! 😳😳😳😳😳
Usiniwekee maneno mdomoni. Wapi nimesema sioni umuhimu wa kupiga kura?

Sijasema mlio piga kura mkae kimya, kama inawasaidia kutokukaa kimya, by all means endeleeni kutokukaa kimya. Nawaachia mliopiga kura (naimani wanasiasa pia walipiga kura).
 
Back
Top Bottom