TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Mungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.

This is more than breaking News.

Usiku wa leo Mh. Magufuli atalia kwa uchungu mno kwa kuondokewa na rafiki yake kipenzi.

Huwenda akabadili maamuzi yake dhidi ya CORONA.

TZ Uviko wanaichukulia poa sana.
 
Akubali? Too late
Angalia tarehe ya hiyo post, zaidi ya mwezi umepita. Nilikuwa nahimiza sana kujikinga kuvaa barakoa, kuosha mikono, kuepuka misongamo isiyo ya lazima, kukubali chanjo especially Pfizer one.

Nilishasema hata yeye hayuko salama. Hakuna yoyote ambaye yuko salama. Labda watoto wetu.

It is bit late now, lakini sio too late. Rais mpya akiwa extremely serious ataokoa maisha ya wengi. Vya kufanya vinajulikana. Sababu huu ugonjwa unaweza kupita na yeye pia asipokuwa mwangalifu.
 
Kusikia kwa kenge, Hadi atokwe damu masikioni
Mungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.

This is more than breaking News.

Usiku wa leo Mh. Magufuli atalia kwa uchungu mno kwa kuondokewa na rafiki yake kipenzi.

Huwenda akabadili maamuzi yake dhidi ya CORONA.
 
Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.

View attachment 1705005

View attachment 1705003
Balozi John Kijazi enzi za uhai wake
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi

CURRICULUM VITAE

NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons

EDUCATION
  • Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
  • Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
CAREER
  • 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
  • Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
LANGUAGES
English, Swahili

---
Pia soma

- Profesa Ndalichako aongoza viongozi na wananchi wa Dodoma kutoa heshima za mwisho kwa marehemu John Kijazi

- Waziri Mkuu aongoza msafara wa kupokea mwili wa Balozi Kijazi

- Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa marehemu Dkt. John Kijazi
Mwache apumzike kwa maana Mungu ndio anajua kuwa sijui angekuwa katika hali gani hivi sasa baada ya mwendazake kuondoka hapa duniani.
 
Back
Top Bottom