King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hatimaye
Niliwaza sana maana MEKO alikuwa not serious na kujikinga na UVIKO ,halafu Kijazi ndio Mshauri mkuu wa MEKO kwahiyo muda mwingi walikuwa Close.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimaye
Mungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.
This is more than breaking News.
Usiku wa leo Mh. Magufuli atalia kwa uchungu mno kwa kuondokewa na rafiki yake kipenzi.
Huwenda akabadili maamuzi yake dhidi ya CORONA.
Angalia tarehe ya hiyo post, zaidi ya mwezi umepita. Nilikuwa nahimiza sana kujikinga kuvaa barakoa, kuosha mikono, kuepuka misongamo isiyo ya lazima, kukubali chanjo especially Pfizer one.Akubali? Too late
Well, it is bit late. Bado tunaweza kuchukua tahadhari.Akubali? Too late
Mbona hawafi Tena huko juu??Exactly one month later (or 7 days earlier) mzee nae kamfuata.
Covid19 is deadly especially when one is already suffering silently from chronic underlying health issues...
wametosha
Wamechanjwawametosha
Mmmh inaelekea Kuna ukweli.kama Ni Corona ingeendelea.wametosha
Unataka kusema umafia ulikuwa unaendelea baada ya kupata walichokitaka wamePose?
Wewe unaonaje mkuu?? Hii hesabu inakuja kweli???? Mmmh ila watz sie wajinga ndo ishatoka hyoUnataka kusema umafia ulikuwa unaendelea baada ya kupata walichokitaka wamePose?
Hata mimi ninawaza kama wewe mkuu!Wewe unaonaje mkuu?? Hii hesabu inakuja kweli???? Mmmh ila watz sie wajinga ndo ishatoka hyo
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Sijui hata ilikuaje??Hata mimi ninawaza kama wewe mkuu!
Ila kwa hali tuliyofikishwa na huyo ''MwenyeKwendaZake'', kama kuna mtu au kikundi kilifanya hilo kusudio hakika nakipa Kongole!!!👏👏👏
Mungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.
This is more than breaking News.
Usiku wa leo Mh. Magufuli atalia kwa uchungu mno kwa kuondokewa na rafiki yake kipenzi.
Huwenda akabadili maamuzi yake dhidi ya CORONA.
Mwache apumzike kwa maana Mungu ndio anajua kuwa sijui angekuwa katika hali gani hivi sasa baada ya mwendazake kuondoka hapa duniani.Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi
CURRICULUM VITAE
NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons
EDUCATION
CAREER
- Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
- Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
LANGUAGES
- 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
- 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
- Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
- Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
- Jun 2007 High Commissioner to India
- 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
English, Swahili
---
Pia soma
- Profesa Ndalichako aongoza viongozi na wananchi wa Dodoma kutoa heshima za mwisho kwa marehemu John Kijazi
- Waziri Mkuu aongoza msafara wa kupokea mwili wa Balozi Kijazi
- Yaliyojiri Karimjee: Zoezi la kuaga mwili wa marehemu Dkt. John Kijazi
Watumishi wasio na vyeo vikubwa msiba yao ulishaisikia? Hata Mkurugenzi kawaida Wizarani hatangazwi. Wanaotangazwa ni wale viongozi wakubwa. Wameugua na kufa wamekufa na kuzikwa. Muhimu tumuombe Mungu na kuchukua tahadhari.Mmmh inaelekea Kuna ukweli.kama Ni Corona ingeendelea.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app