TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia


😂😂😂😂 ila wewe kumuwekea Lissu maneno mdomoni kwamba anatambua nyadhifa za the so called viongozi ni sawa!!! 🤣🤣🤣
Usiniwekee maneno mdomoni. Wapi nimesema sioni umuhimu wa kupiga kura?


Sijasema mlio piga kura mkae kimya, kama inawasaidia kutokukaa kimya, by all means endeleeni kutokukaa kimya. Nawaachia mliopiga kura (naimani wanasiasa pia walipiga kura).
 
😂😂😂😂 ila wewe kumuwekea Lissu maneno mdomoni kwamba anatambua nyadhifa za the so called viongozi ni sawa!!! 🤣🤣🤣
Tafsiri tafadhali alichoandika 👇🏿. Inawezekana kiingereza ni kigumu zaidi kwangu.

``In just one day we’ve lost a First Vice President and a Chief Cabinet Secretary to COVID-19´´.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Una maana gani? Hakuna aliyewahi kuficha maradhi!! Usitake kutengeneza picha ya uongo!! Tulichosema na kukiri kama Taifa ni kuwa " Mungu ametuponya na janga la Corona!!

Huo ni ukweli mtupu ambao haukanushiki na uko wazi!! Ndio maana vyuo na shule zilifunguliwa, lockdown haikuwepo na tuliachana na barakoa! Duniani kote kwingine shule na vyuo havikufunguliwa na wengine walipojaribu kufungua wakafunga tena Hadi leo!! Je huko mashuleni na vyuoni mmeshuhudia vifo vya halaiki? hakuna kitu kama hicho kwa kuwa Mungu alikuwa ametuponya!

Mungu akikuponya haina maana kuwa huwezi kuugua tena madam bado unaishi!! Suluhisho ni kuwa ukiugua tena unamwomba Mungu tena ili akuponye kama alivyokuponya awali!! wala siyo kwamba ukiugua tena maana yake ni kuwa Mungu alikuwa hajakuponya!! Watanzania tumwombe Mungu tena Kama tulivyofanya awali na atatuponya tena Kama alivyotuponya hapo awali kwa kuwa mapenzi yake kwetu hayabadiliki!

Kuna watu wanakejeli na kubeza na Mungu anawaona!

Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso
Mungu mwenyewe hapendi wanafiki kama wewe, endekeza unafiki na uongo hapo.
 
Tafsiri tafadhali alichoandika [emoji1541]. Inawezekana kiingereza ni kigumu zaidi kwangu.

``In just one day we’ve lost a First Vice President and a Chief Cabinet Secretary to COVID-19´´.
Vp is the appointee of the president, so recognizing the Vp is recognizing his appointer, it's same as Chief cabinet secretary and his appointer, TL kashalainika na hana hoja tena, awaisaidie NATO sasa kupeleka ushahidi kwamba hawahusiki kuhujumu mataifa ya kiarabu i.e SYRIA, maake ni jana tu jeshi la Asad likisaidiana na lile na Russia wamegundua ghala kubwa la silaha za magaidi wa Danesh zikiwa ni zile za NATO maana yake ni kwamba EU wanafadhili makundi ya kigaidi kuhujumu UAE...Hatia ya usaliti na nia yake ya kuiuza nchi itamuangamiza huyu bwana, labda huu ugonjwa wa Dimentia(ugonjwa wa akili) kama dalili za mwanzo za ugonjwa wa Amnesia umeanza kumvizia, maake sio kwa kusahau huku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tulikosea tangu mwazo kwa kujiona sisi ni kisiwa! Cha ajabu bado tunaficha tatizo huku jamii ikiteketea kila uchwao!
 
Ni sifa gani zinazotumika kwenye uteuzi wa katibu mkuu kiongozi na majukumu yake ni yapi?!
 
Vp is the appointee of the president, so recognizing the Vp is recognizing his appointer, it's same as Chief cabinet secretary and his appointer, TL kashalainika na hana hoja tena, awaisaidie NATO sasa kupeleka ushahidi kwamba hawahusiki kuhujumu mataifa ya kiarabu i.e SYRIA, maake ni jana tu jeshi la Asad likisaidiana na lile na Russia wamegundua ghala kubwa la silaha za magaidi wa Danesh zikiwa ni zile za NATO maana yake ni kwamba EU wanafadhili makundi ya kigaidi kuhujumu UAE...Hatia ya usaliti na nia yake ya kuiuza nchi itamuangamiza huyu bwana, labda huu ugonjwa wa Dimentia(ugonjwa wa akili) kama dalili za mwanzo za ugonjwa wa Amnesia umeanza kumvizia, maake sio kwa kusahau huku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie nilishtuka hapo kwenye ``we´ve´´. Kifupi cha ´´we have´´. ´´we´´, inamaana amejijumlisha na yeye hapo. Kana kwamba hao pia ni viongozi wake/ wa serikali yake. Kutambua nafasi zao za kiserikali ni Kutambua hiyo serikali pia.

Sikutegemea tu ile statement aliyoitoa.
 
Usiwalaumu wananchi wapo sahihi kusema Tanzania hakuna corona kutokana na wanavyo sikia kutoka kwa viongozi wao. Kwani wewe tangu usikie corona imeingia ulisha wahi kusikia wapi Tanzania mtu katangazwa kuwa amekufa kwa corona?
Labda Kuna kaukweli ila tujiongeze na sisi makapuku.
 
Alisema maji moto bhana...

Juzi kati hapa kitaa cha Bunju, mama mmoja kushuka kwa daladala na barakoa yake. Vijana wa bodaboda wanaanza kumzomea eti analeta udhuru, Tanzania hakuna Corona. Magu kaitokomeza... Hapo ni town vipi huko Mpitimbi?
Babu wabongo alieturoga kadafanja miaka ya Homo Erectus
 
Poleni familia, Wahamasishe watu wachukue tahadhari sana. Wanaotaka kujifungia wajifungie, wengine tahadhari kubwa.

Rais kubali Chanjo za Pfizer zitapunguza vifo.

Hospitalization.
Mnapoambiwa Tanzania hakuna panya wa majaribio, huwa mnaelewa nini kwani?
 
Back
Top Bottom