FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Unatakaje kwani, kuna mtu kakuzuia kuchukua tahadhari?Hadi Afe nani?
Mwenyewe nina mafua hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatakaje kwani, kuna mtu kakuzuia kuchukua tahadhari?Hadi Afe nani?
Mwenyewe nina mafua hapa
Maamuzi gani? Ya kuweka Lockdown? Ya kupokea chanjo? Alikuzuia kuchukua tahadhari?Mungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.
This is more than breaking News.
Usiku wa leo Mh. Magufuli atalia kwa uchungu mno kwa kuondokewa na rafiki yake kipenzi.
Huwenda akabadili maamuzi yake dhidi ya CORONA.
Isitokee kwani wewe munguhaiwezi kutokea.
umesahau ....jiwe kuu.Isitokee kwani wewe mungu
Hapa tuko kwenye boti hata wewe pekee ukichukua tahadhari lakini halaiki wanaaminishwa kuwa tuko salama na wao wakaamini hivyo, hiyo tahadhari yako pekee itakuwa na manufaa kidogo sana ukilinganisha na ambapo mngechukua tahadhari wote hasa mkiwa mnaongozwa na nahodha.Unatakaje kwani, kuna mtu kakuzuia kuchukua tahadhari?
Mnapoambiwa Tanzania hakuna panya wa majaribio, huwa mnaelewa nini kwani?
Sasa kama ni mwisho wa mwaka mnalia lia nini sasa kuhusu chanjo, si msubiri au?Yaani over 50m tayari wamechanjwa duniani, tena wengine wazee kabisa wamesurvive. Including Kama Israel, UK, USA, Brazil, Saudi, UAE, na EU.
Imeshajaribiwa vya kutosha. Kufika Tanzania itakuwa mwisho wa mwaka labda baada ya waatu 1bn kupokea.
Kwahiyo kutakuwa na muda wa kutosha kujiridhisha
Anyway haya maoni tu ya mtu mmoja.
Nadhani jibu ulishalipata. Hapo bado kuna undugu kweli. Unakumbuka nyumbani Sumve sikwenda, nifuate nini Korogwe?Anaweza akawepo maana huyu alikuwa zaidi ya ndugu kwake.
Yameshapasuka"Kenge huwa hasikii mpaka umtandike hadi damu zimtoke masikioni"
Mataga endeleeni tu kuimbishwa mapambio ya kikuda.
Exactly one month later (or 7 days earlier) mzee nae kamfuata.Halafu Kijazi muda mwingi yupo na MEKO kwenye uapizaji.
Noma sana,inabidi TISS now wawe serious aotherwise tutapoteza top officials wengi,maana wengi wana "MALUKANGA" hivyo wakipata UVIKO hawawezi kutoboa.Sasa hivi hii kitu inapiga huko juu juu kwanza.
Hatari sana mkuu,inasikitisha ,juzi baraza la mawaziri wamejikusanya bila tahadhari yeyote ,hakuna barakoa,hakuna social distancing ,hakuna "SANTAIZA".Exactly one month later (or 7 days earlier) mzee nae kamfuata.
Covid19 is deadly especially when one is already suffering silently from chronic underlying health issues...
Too late!Mungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.
This is more than breaking News.
Usiku wa leo Mh. Magufuli atalia kwa uchungu mno kwa kuondokewa na rafiki yake kipenzi.
Huwenda akabadili maamuzi yake dhidi ya CORONA.
HatimayeHalafu Kijazi muda mwingi yupo na MEKO kwenye uapizaji.
Akubali? Too lateRais kubali Chanjo za Pfizer zitapunguza vifo.
Hospitalization.