Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
😆😆😆Hivi nani hajui kama tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Hivi nani hajui kama tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu
Unamaanisha kwamba hawa wanaokufa kwa sasa walienda kuchanja nje kwa siri?.Hivi Ni kIna Nani hao waliokwenda huko ulaya kufuata chanjo kimya kimya halafu wakatuletea Corona ya ajabu ajabu? Nimeshaanza kuona hao ndio maadui wa Taifa!!
Nafikr ww ndio utaichukua nafasi ya Maalim Seif ya uenyekiti wa eisiti uzalendo na raisi msaidizi wa zenji, ubarikiwe kwa upinzani maake it's how you was born for.[emoji38][emoji38][emoji38]
Damn shit we're fakin finishedThe black cloud is hovering over Tanzanian skies.
Karibu tena jukwaani , je umeletwa na coronaNafikr ww ndio utaichukua nafasi ya Maalim Seif ya uenyekiti wa eisiti uzalendo na raisi msaidizi wa zenji, ubarikiwe kwa upinzani maake it's how you was born for.
RIP KIONGOZIRais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi
CURRICULUM VITAE
NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons
EDUCATION
CAREER
- Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
- Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
LANGUAGES
- 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
- 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
- Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
- Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
- Jun 2007 High Commissioner to India
- 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
English, Swahili
Yeah tumetafuna sana kiti moto na kuku choma ni zamu ya wadudu sasa kututafunaDamn shit we're fakin finished
Napenda upinzani 100% ila kwa hili mpaka wanaboa sasa asee
Huyu Zitto Kabwe amekuwa msemaji wa familia za watu! Wahusika wenye ndg yao wamshitaki Mahakamani maana hakuna namna amezidi kuropoka pasipo chembe ya ushahidi!
Huyu Zitto Kabwe amekuwa msemaji wa familia za watu! Wahusika wenye ndg yao wamshitaki Mahakamani maana hakuna namna amezidi kuropoka pasipo chembe ya ushahidi!
😆😆😆Hi mambo mingine sielewi bhana...
Kwani tunahitaji kutangaziwa ndo tujue ipo?!!
Hataki kugeuza jiwe. Twafa.hata kwenye musiba hendiNgoma imegonga hodi ofisini kwa mjomba.
Ndo umeandika makorokoncho gani hapa?Je VIP walio wengi wamepata chanjo ya Korona? Na kama hii ni kweli chanjo imetoa matokeo chanya? Je Korona ipo Tanzania? Na kama ipo ikitangazwa kuwa ipo je itasaidia kuokoa maisha ya watu wengi?