TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Mungu ametenda anavyoona inafaa. Jina la Bwana lihidiwe amen

DUMU KUBWA
 
Wale wamasai wa kule Simanjiro wao wameshaanza maombi ili yule mbunge wao (mzee mwenye tumbo, aka ndekandeka) hichi kikombe cha upumuaji kimuepuke.

Wanasema hali ni tete.
Nyungu za kimasai zimegonga mwamba, sasa wamebakia na tiba za sayansi ya mzungu na maombi kwa Mungu.
 
Kujilinda ni jukumu la mtu binafsi. Ina maana huna sabuni? Huna uwezo wa kununua barakoa ya 500? Huwezi kuweka distance kati yako na mtu mwingine? Unataka Rais akushikie kiboko kufanya hayo? Embu tuwe serious kidogo jamani.
Jamani serikali ina jukumu kubwa sana kwenye kupambana na huu ugonjwa,hii vita sio ya mtu mmoja mmoja. Serikali inatakiwa izuie mikutano,matamasha,pia watu kwenda viwanjani kutazama michezo. Sababu kubwa inayoeneza covid19 ni mikusanyiko ya watu wengi kwenye closed space kama bars,nyumba za ibada, sherehe na michezo. Hapa serikali ina nafasi kubwa ya kuzuia hizi shughuli kwa muda mpaka level ya maambukizi ikishuka.

Pamoja na hayo pia serikali imegoma kukubali na kutangaza kwamba Corona ipo Tanzania,hii imewapa watu imani kwamba ugonjwa haupo na wanakua careless.
 
R.I.P

Chanjo hizo ni kwa ajili ya kuwalinda wazee na watu wenye maradhi ya muda mrefu mshaambiwa.

Wenzenu wakishamalizana na walengwa wa chanjo hao wengine waambukizane tu maisha yaendelee, amtaki kusikia.
 
Nimekosa hata cha kusema nimepigwa na butwaa.

Pole kwa Mhe. Rais kwa kuondokewa na msaidizi wake wa karibu na muhimu sana, pole kwa familia yake na wafanyakazi wote.
Apumzike kwa amani.

hakika sisi sote ndio njia yetu hakuna atakaye kwepa kifo.
 
Tumeambiwa na nani?
Uongo mtupu.
R.I.P

Chanjo hizo ni kwa ajili ya kuwalinda wazee na watu wenye maradhi ya muda mrefu mshaambiwa.

Wenzenu wakishamalizana na walengwa wa chanjo hao wengine waambukizane tu maisha yaendelee, amtaki kusikia.
 
Sasa hao ni wale wanao julikana na kutangazwa je, sisi huku mitaani tusio julikana wala kutangazwa.?
nipo dsm mtaa wa kwa azizi ally najaribu kufatilia kama kuna mtu yyte kadanja kwasababu ya hako ka mdudu ila bado sijaona yyte, na hakuna anaechukua tahadhari vile vile, sasa nazidi kuchanganyikiwa sana.
 
Back
Top Bottom