TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Wahimize watu kuacha kusalimia kwa kushikana mikono ofisi zote na maji ya kunawa na barakoa

Nimefanya hivyo kwa mwaka. Ila hatuweza kusimilamisha kila kitu. Mama zetu, watu wetu, mama ntilie, wamachinga, watakufa kiuchumi.

Mimi ni bora nife katika harakati. Ni hivi maisha kwa hayawezi kuishwa kwa uoga uoga. Lazima tuishe kishujaa.

Pambama, ukishindwa, umeshindwa.
 
Mimi na wewe tunaelewa..lkn asilimia kubwa mnooo ya watanzania hawajui wala hawajali.. asa long as alisema hakuna korona kuna wanaomuamini...humu tu kuna MATAGA wanasema hakuna...seuse usweken. Lkn leo Rais akisema korona ipo na lazima kujilinda utaona kesho mji mzima una barakoa... las,t year si uliona watu walivyochukua tahadhari.. ?? Ila sasa anaanzaje???
Mara ya kwanza corona kubisha hodi Tanzania walifunga mashule wakazuia watu kushikana mikono wakahimiza kunawa mikono kwa bidii kubwa ndipo corona ikatoweka kwa mda wakasingizia kuwa wamemuomba mungu amefukuza corona Tanzania, sasa watanzania hawavai barakoa hawanawi mikono, wanakumbatiana wanasalimiana kwa mikono usambazaji ni mkubwa hasa kwenye public transport, school bus konda Dereva huwambukiza wanafunzi na wanafunzi kwenda kuwambukiza walimu na wazazi wao, wanafunzi hasa wanaopanda madaladala sasa ndiyo wasambazaji wakubwa zaidi
 
Tufanyaje bro, tutukane serikali kwa kila kitu inachovifanya?
Rais ahutubie Taifa apige marufuku salam za kushikana mikono, ahimize watu kunawa mikono, kuvaa barakoa, kuacha kukaa vijiweni kueneza maambukizi na pia wazifunge shule angalau hata kwa week mbili tu kuwanusuru watoto wadogo kueneza maambukizi kwa walimu na wazazi
 
Wanaokufa pasipo kutangazwa ni wengi sana na hasa huko uswahilini kwenye mikusanyiko isiyo na umakini wala maonyo yeyote

Nakubari ukiwa hauna jina hautangazwi. Ila tumia ID moja (ushuzi or mmawia). Kwanini unajiita ushuzi? Halafu ushuzi.1?
 
Hebu acha kujitoa ufahamu wewe! Umemuona Biden na VP wake wanavaa barakoa katika Serikali hii ni yupi anayevaa barakoa? Sababu za kutovaa ni zipi?
Kila Nchi ipambane tusiige huko America kwani huko wamepiga chanjo tayari
 
Nakubari ukiwa hauna jina hautangazwi. Ila tumia ID moja (ushuzi or mmawia). Kwanini unajiita ushuzi? Halafu ushuz.1?
Hilo ndiyo jina langu Asilia nalitumia mda wote hata hapa South pole watanzania wote wanalijua hili jina waulize watakuambia
 
Hilo ndiyo jina langu Asilia nalitumia mda wote hata hapa South pole watanzania wote wanalijua hili jina waulize watakuambia

Ok, nakushauri tafuta jina lingine. Umetokea wapi? Jiite jina la eneo lako, kimaraboy,mikocheniman, masaking oceanroadboss.

Au wewe ni Gay? Ushuzi.1
 
Back
Top Bottom