ngulyabhule
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 226
- 377
Noma sana mtaani wanauliza what's wrong?
Wajibu “wrong is any thing that is not correct”!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana mtaani wanauliza what's wrong?
inakula wanaotembele ma vieiti banaUzuri corona haibagui nyumba safi na chafu
Busara za uongozi hakuna. Watu wamehoji pia uhalali wa PhD yake. Sasa taifa limevuliwa nguo. Tumekuwa gumzo duniani.Yule alie kuwa aki tamba hamna corona yuko wapoi leo?
Mficha ugonjwa kifo humuumbua.
Ni aibu msomi ya PhD kushabikia nyungu na kuficha maradhi. Sasa aibu ina mpata. Bado zamu yake
Rais huyu?
wala hatujaingia, tunaogopa kutekwa....Ametuingiza cha kike/Kiume na Herd Immunity.
Katika dunia ya kisayansi watu bado wanakubali kuongozwa kienyeji.Ana wadanganya kila siku sababu ya ujinga wanakubali, acha tuishe kwanza
Nadhani ungeacha kutukana bado hoja yako ingesikika.Acha ujinga wewe wakati watu wakivaa barakoa mnawavua, yule prof wa out katoa waraka wa kujikinga mkamgeuka
Love you sana Mammy wangu, karibu tenaNimecheka ghafla..ila wewe!💃
Wewe unataka afe baba yako ndio uone kifo kikuume?Kumbe kijazi alikuwa baba yako...
Tule mtori zinakuja baaaaeMlishasema nyinyi inatosha..
Tuendelee kula mtorii....
Kumpush ni lazima kwa sababu ukaidi wake utaua ndugu zetu wajinga wengi.
Wewe ni watu wangapi ukiwaambia kuna Corona wajikinge watakusikiliza?
Wangapi akisema Magufuli watasikiliz
Unajua sisi watu wa kawaida tuna nafasi kubwa zaidi ya kuhabarishana na kuelewana?...Kumpush ni lazima kwa sababu ukaidi wake utaua ndugu zetu wajinga wengi.
Wewe ni watu wangapi ukiwaambia kuna Corona wajikinge watakusikiliza?
Wangapi akisema Magufuli watasikiliza?.
Mjinga wewe usinifokeeWewe unataka afe baba yako ndio uone kifo kinyume?...
Acha kujimwambafy kwa haka ka pumzi Mungu alikokupendelea basiMjinga wewe usinifokee
Ukimuombea wewe inatosha,.Mwenye uwezo wa kupiga sala, tuungane tumwombee Rais wetu.. Huu msiba ni msiba chumbani mwa muheshimiwa...
Aliyasema kwa tuna rais wa ajabu ajabu huenda hamkumuelewa sasa mtaelewa. Kifupi yeye anatafuta sifa binafsi kwa gharama yoyoteNdio na ninahukika atahutubia Taifa. Altenative is worse kukosa, watalii, wawekezaji...
Watu wanashangilia vibaya sn tena mzalendo no 1Katika dunia ya kisayansi watu bado wanakubali kuongozwa kienyeji.
Aliyasema kwa tuna rais wa ajabu ajabu huenda hamkumuelewa sasa mtaelewa. Kifupi yeye anatafuta sifa binafsi kwa gharama yoyote