LGE2024 Katibu Mkuu NRA: Sasa hivi yamekuwa maigizo kila mtu anasema katekwa, Uchaguzi ulikuwa wa Huru na Haki

LGE2024 Katibu Mkuu NRA: Sasa hivi yamekuwa maigizo kila mtu anasema katekwa, Uchaguzi ulikuwa wa Huru na Haki

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakuu,

Mwakani kazi ipo, kama watu kama hawa ndio wanaongoza wengine kugombea nafasi mbalimbali za kuwakilisha wananchi!

====

View attachment 3169250

Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya Almas amesema kuwa uongozi wa chama hicho umekaa, kujadili na kuona kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa ulikua huru haki, huku akisisitiza kuwa, wameyapokea matokeo ya uchaguzi huo kwa moyo mmoja, licha ya kutoambulia kiti hata kimoja miongoni mwa nafasi zaidi ya 230 walizosimamisha wagombea.

Aidha Kisabya ameonyesha kutokuwa na imani na baadhi ya watu wanaotoa taarifa za kutekwa na kupotea akidai kuwa imekuwa kama mchezo wa kuigiza kila mtu kudai ametekwa ama kupotea.
Tukisema waislamu ni wapumbavu watu wanasema tunatukana ...tukisema waislamu awafai kuwa viongozi wapumbavu wanatuona wadini ....kumbe tunacho sema kina ushahidi madhubuti kabisa...kazi ya viongozi waislamu ni kuabudu mabeberu na waarabu.
Kwao mabeberu na waarabu ni kama mungu
 
Hiki chama Kiko Tz au Zenji?
Kwa hiyo waliotekwa na kuuwawa wengine kupotea jumla wanajiua wenyewe? Aliyetekwa na kwenye basi mchana kweupe Kisha kuuwawa alijiua mwenyewe, yule aliyetekwa na kupigwa risasu ya fuvu la kichwa Kisha kutupwa mbuga ya katavi ili aliwe na wanyama alijiteka mwenyew!!? Endeleeni kutuonyesha sura zenu za ndani tuwatambue
 
Wakuu,

Mwakani kazi ipo, kama watu kama hawa ndio wanaongoza wengine kugombea nafasi mbalimbali za kuwakilisha wananchi!

====

View attachment 3169250

Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya Almas amesema kuwa uongozi wa chama hicho umekaa, kujadili na kuona kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa ulikua huru haki, huku akisisitiza kuwa, wameyapokea matokeo ya uchaguzi huo kwa moyo mmoja, licha ya kutoambulia kiti hata kimoja miongoni mwa nafasi zaidi ya 230 walizosimamisha wagombea.

Aidha Kisabya ameonyesha kutokuwa na imani na baadhi ya watu wanaotoa taarifa za kutekwa na kupotea akidai kuwa imekuwa kama mchezo wa kuigiza kila mtu kudai ametekwa ama kupotea.
Huyu ni chawa sana na ni mjinga sana!
 
Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya, ametoa kauli kuhusu madai ya utekaji nchini wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Kisabya alidai kuwa baadhi ya watu wanatumia madai ya kutekwa kwa malengo ya kuchafua taswira ya nchi. Pia alihimiza kuondoa mtazamo wa kisiasa kama ugomvi, akisisitiza umuhimu wa mijadala yenye kujenga badala ya kugawanya taifa.

 
Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya, ametoa kauli kuhusu madai ya utekaji nchini wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. Kisabya alidai kuwa baadhi ya watu wanatumia madai ya kutekwa kwa malengo ya kuchafua taswira ya nchi. Pia alihimiza kuondoa mtazamo wa kisiasa kama ugomvi, akisisitiza umuhimu wa mijadala yenye kujenga badala ya kugawanya taifa.
Huyo kimbwenelehi atueleze alifaidika nani kwa utekaji na mauaji ya Mzee Kibao?

Atueleze akina Soka wapo wapi na kwa nini wanaichafua nchi kwa kutoonekana kwao?

Hawa watu wana tatizo la afya ya akili na serikali inawatumia against tranquility ya nchi
 
Unapoambiwa ugali unapunguza uwezo wa kung'amua mambo uwe unakubali. Hayo ni matokeo ya ugali maharage
 
Chama chenyewe ni NRA sijui, acha kupotezea watu muda.
Hao waigizaji ni wa kupuuzwa.
 
Unazani huyu ni zezeta, siyo zezeta hata kidogo na unaweza umashangaa anapokea mshahara kila mwezi amekwa tu hapo kwa kazi hiyo.
Basi anastahili kupigwa! Sisi raia tungekuwa wakali wasingerudia ujinga!
 
Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya, ametoa kauli kuhusu madai ya utekaji nchini wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Kisabya alidai kuwa baadhi ya watu wanatumia madai ya kutekwa kwa malengo ya kuchafua taswira ya nchi. Pia alihimiza kuondoa mtazamo wa kisiasa kama ugomvi, akisisitiza umuhimu wa mijadala yenye kujenga badala ya kugawanya taifa.

Vyama vingine vinatokeza kwenye matukio ya uchaguzi tu, sasa hiki nacho ni chama gani kinchoweza kuongea ugoro kama huu.
 
Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya, ametoa kauli kuhusu madai ya utekaji nchini wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Kisabya alidai kuwa baadhi ya watu wanatumia madai ya kutekwa kwa malengo ya kuchafua taswira ya nchi. Pia alihimiza kuondoa mtazamo wa kisiasa kama ugomvi, akisisitiza umuhimu wa mijadala yenye kujenga badala ya kugawanya taifa.

Hicho chama, kwa kuwa na aina ya viongozi wapigania tumbo kama huyo bwana, hakitafika popote. Na wala asiamini kwa kuungana na kufanya kazi ya kuwatetea watekaji na wauaji, ndipo atafanikiwa katika maisha. Huyu bila shaka, yupo kwenye hicho chama kama sehemu ya kufanyia utapeli ili aendeshe maisha. Hajali anamtetea jambazi au mtu mwema, kwake cha muhimu ni tumbo lake lijae.

Hivi kweli kuna mtu mwente akili, hata akili kidogo kabisa, anaweza kufikiria utekwaji wa Ali Kibao, kisha mauaji, utekaji wa akina Soka, utekwaji na kisha kumfanyia jaribio la kumwua Sativa, eti wanaoyalalamikia matukio hayo ya kiharamia, lengo lao ni kuchafua nchi!!

Watu wema wasichoke kupaza sauti dhidi ya ushetani huu unaofanywa na serikali kwa nia ya kuwatisha na kuwafumba midomo wanaoikosoa Serikali.
 
Kuna Tuvyama Kama 14 hivi Sidhani nao wana wafuasi. Tu-chama twa Mifukoni. Tu-chama Rafiki na Mkoloni Mweusi.
Hivyo vyama 14, ni vyama matumbo, vinavyohaingaika kuisifia CCM katika uovu ili virushiwe pesa ya kushibisha matumbo ya viongozi wake. Ni vyama jina, havina hata wanachama.
 
Back
Top Bottom