Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti kuunguruma
Kwani Anaumwa Kifua kikuu!!
Ila Vibendera wachadema mungu aliwapa moyo wa Kujipa tumaini
Mnajitahidi aisee
Mkiwa Jf kama kweli vile
Kumbe Ma zero
Hakuna jipya zaidi ya kusema ajenda yake ni Tume Huru ya Uchaguzi!
Hakuna jipya zaidi ya kusema ajenda yake ni Tume Huru ya Uchaguzi!
Bado maelekezo kutoka juu hayajatoka?? Mado masaa mawili na nusu tuLeo saa 5 asubuhi Mheshimiwa John Mnyika katibu mkuu taifa wa Chadema na mbunge wa kibamba leo atakuwa anaonge live kupitia kituo cha ITV asubuhi hii, je. Tutegemee nini kutoka kwake hasa ukizingatia kuwa ameteuliwa wakati chama chake kikiwa katika hari mbaya, au atarudisaha hari ya Dr Slaa
Hakika mkuu ndio hoja muhimu kwa Watanzania kuelekea uchaguzi mkuu 2020, kuepuka yale matusi, dhihaka,dhuluma ushindi wa 99%. Umoja na ustawi taifa ni muhimu sana kuliko matusi, ufedhuli,kiburi ,kujiwekea dole eti ushindi 99%.Hakuna jipya zaidi ya kusema ajenda yake ni Tume Huru ya Uchaguzi!
Matamko yenye hekima na busara za uongozi wa nchi yetuKijana wa matamko
Kumbe tume huru ya uchaguzi ipo? Maana unasema hilo sio jipya!Hakuna jipya zaidi ya kusema ajenda yake ni Tume Huru ya Uchaguzi!
Kwani ajenda ya kusema tunataka Tume Huru ya Uchaguzi imeanzishwa na Mnyika?Kumbe tume huru ya uchaguzi ipo? Maana unasema hilo sio jipya!
Hari = HaliLeo saa 5 asubuhi Mheshimiwa John Mnyika katibu mkuu taifa wa Chadema na mbunge wa kibamba leo atakuwa anaonge live kupitia kituo cha ITV asubuhi hii, je. Tutegemee nini kutoka kwake hasa ukizingatia kuwa ameteuliwa wakati chama chake kikiwa katika hari mbaya, au atarudisaha hari ya Dr Slaa
Lolote unalolihitaji/kuliomba na hujalipata bado linakuwa bado jipya hadi litimizwapo.Kwani ajenda ya kusema tunataka Tume Huru ya Uchaguzi imeanzishwa na Mnyika?
Ninaposema hakuna jipya nina maana atakayoyasema tumeishayasikia tokea mwaka 1992.
Anatamka kama jamaa yetu wa Ferry! Kiswahili nacho kigumu! Ayakuwa sio 'mzarendo' huyu!Hari = Hali
Kwako unayeomba linaweza kuwa ni jipya lakini kwa unaowaomba au wanaokusikiliza linakuwa sio jipya!Lolote unalolihitaji/kuliomba na hujalipata bado linakuwa bado jipya hadi litimizwapo.