ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Kwahiyo hana haja yakulisema hilo?Kwani ajenda ya kusema tunataka Tume Huru ya Uchaguzi imeanzishwa na Mnyika?
Ninaposema hakuna jipya nina maana atakayoyasema tumeishayasikia tokea mwaka 1992.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hana haja yakulisema hilo?Kwani ajenda ya kusema tunataka Tume Huru ya Uchaguzi imeanzishwa na Mnyika?
Ninaposema hakuna jipya nina maana atakayoyasema tumeishayasikia tokea mwaka 1992.
Yaani UNABET.
Umebabaika hadi unatia aibu !Eti kuunguruma
Kwani Anaumwa Kifua kikuu!!
Ila Vibendera wachadema mungu aliwapa moyo wa Kujipa tumaini
Mnajitahidi aisee
Mkiwa Jf kama kweli vile
Kumbe Ma zero
Hatari !!Nikutajie wabunge walioshindwa kwenye majimbo yao?
1. Kangi Lugola- Mwibara haina maji safi na Salama
2. Ridhiwani Kikwete- Chalinze haina maji safi na salama
3. Simbachawene- Kibakwe haina maji safi wala barabara
4.
5
6
7
8
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatilia hapa live
Kwenye ITV hayupo, nilihisi lazima kuwe na mizengwe na kweli imetokea.
Naona anahojiwa mwingineMaelekezo kutoka juu yatakuja kabla ya kipindi kurushwa
Hatari !!
Kijana mwenye akili nyingi,hekima, busara na upeo wa hali ya juu, John John Mnyika, Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kesho Jumatano tarehe 29.01.2020 saa tano asubuhi atakuwa hewani akitoa darasa la siasa, demokrasia na maendeleo.
Madini ya Mnyika hayapaswi kupitwa na kila Mtanzania anayejitambua.
Usikose View attachment 1338293
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana heshima kitu cha bure