Katibu Mkuu wa CCM atoa onyo kwa Membe akimtaka kutokuwa juu ya katiba ya chama

Katibu Mkuu wa CCM atoa onyo kwa Membe akimtaka kutokuwa juu ya katiba ya chama

Hatukuelewe kabisa huenda samaki akapiga mbizi nyikani...
Wapishi wanapika na inaoneka chakula kitaiva vyema na wakiletewa wale itathibitisha nani kapika kitamu.
Kwa Bashiru Ally.
Membe ni mtu mdogo sana kwa CCM na wala sio tishio ila wenyewe ndio mnampaisha.
Jambo la pili CCM imekufa na dalili zipo wazi.Ukiwa Muislamu unajua wazi kuwa wakati wa kuswaliwa maiti huwa tunasema "Mleteni maiti" na hatusemi mleteni Rashid wala Juma.
Kinachoendelea nchini kote si kazi nzuri ya CCM ila ni kazi nzuri ya JPM(Sijui atanielewa???)
 
"CCM tuko makini kulinda utamaduni wetu"

Kwa kauli hii CCM na Bashiru bado wanaogopa Membe atataka kumchallenge Meko kwenye kupeperusha bendera ya CCM 2020.
That is it. There is no way things will work on Membe's side from outside in. kama hana support ya ndani, basi kaula wa chuya
 
Ujenzi wa Taifa au kuleta maendeleo hayawezi kuletwa na mtu mmoja bila ushirikishwaji wa makundi yote ya watanzania.Jamani kama RAILA ODINGA na KENYATTA wanapeana mikono wanasema tujenge Kenya pamoja sisi TANZANIA kwa nini tusiwe na maridhiano,na kutunga katiba mpya ambayo italeta matumaini mapya kwa watanzania wote na kuondoa hisia za ubaguzi na ubinafsi
 
CCM wanazijua sana siasa. Uchaguzi Mkuu umekaribia. Membe anaandaliwa 2020 kuwa Lowassa wa 2015.

Upinzani kuweni macho, msidanganyike mkaicheza tena hii ngoma ya CCM. Mtakuwa wajinga sasa kurudia makosa.
 
77a00ec04d6edcc2823d3dadba9dd61f

Bernard Membe, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya Benard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Onyo hilo limetolewa leo tarehe 27 Novemba 2019 na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM, wakati akizungumza katika mahojiano na kipindi cha Konani kinachorushwa na Kituo cha ITV, kupitia chaneli yake ya Youtube.

“Membe ni mwanachama mwenye haki ya kikatiba lakini ana wajibu. Kwa hiyo kama anataka kuwa mwanachama wa CCM kama walivyo wengine, lakini wametupa ushindi tunaojivunia afutae utaratibu. Asipofuata utaratibu, atalazimishwa kufuata utaratibu,” ameeleza Dk. Bashiru.

Hata hivyo, Dk. Bashiru amesema Membe hakuwahi kujadiliwa katika vikao vya chama, licha ya kwamba hakuitikia wito wake, alipomtaka kuonana nae akiwa mkoani Geita.

“Hatukuwahi kumjadili na kwenye vikao hakuwahi kufika. Kosa halifi kama jinai, kosa halifi unaweza ukadhani limekufa kumbe ni utaratibu wa wakati. Kupitia kwako, naomba kueleza wana CCM tuko makini kulinda utamaduni wa chama, na wanachama kutii viapo vyao,” amesema Dk. Bashiru.
Kwani Membe kafanya nini Bw. Bashiru?
 
77a00ec04d6edcc2823d3dadba9dd61f

Bernard Membe, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya Benard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Onyo hilo limetolewa leo tarehe 27 Novemba 2019 na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM, wakati akizungumza katika mahojiano na kipindi cha Konani kinachorushwa na Kituo cha ITV, kupitia chaneli yake ya Youtube.

“Membe ni mwanachama mwenye haki ya kikatiba lakini ana wajibu. Kwa hiyo kama anataka kuwa mwanachama wa CCM kama walivyo wengine, lakini wametupa ushindi tunaojivunia afutae utaratibu. Asipofuata utaratibu, atalazimishwa kufuata utaratibu,” ameeleza Dk. Bashiru.

Hata hivyo, Dk. Bashiru amesema Membe hakuwahi kujadiliwa katika vikao vya chama, licha ya kwamba hakuitikia wito wake, alipomtaka kuonana nae akiwa mkoani Geita.

“Hatukuwahi kumjadili na kwenye vikao hakuwahi kufika. Kosa halifi kama jinai, kosa halifi unaweza ukadhani limekufa kumbe ni utaratibu wa wakati. Kupitia kwako, naomba kueleza wana CCM tuko makini kulinda utamaduni wa chama, na wanachama kutii viapo vyao,” amesema Dk. Bashiru.
Eti jinai/kosa alifi aahh Ibara ya 46 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano mbona inaondoa na kuua jinai?
 
77a00ec04d6edcc2823d3dadba9dd61f

Bernard Membe, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya Benard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Onyo hilo limetolewa leo tarehe 27 Novemba 2019 na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM, wakati akizungumza katika mahojiano na kipindi cha Konani kinachorushwa na Kituo cha ITV, kupitia chaneli yake ya Youtube.

“Membe ni mwanachama mwenye haki ya kikatiba lakini ana wajibu. Kwa hiyo kama anataka kuwa mwanachama wa CCM kama walivyo wengine, lakini wametupa ushindi tunaojivunia afutae utaratibu. Asipofuata utaratibu, atalazimishwa kufuata utaratibu,” ameeleza Dk. Bashiru.

Hata hivyo, Dk. Bashiru amesema Membe hakuwahi kujadiliwa katika vikao vya chama, licha ya kwamba hakuitikia wito wake, alipomtaka kuonana nae akiwa mkoani Geita.

“Hatukuwahi kumjadili na kwenye vikao hakuwahi kufika. Kosa halifi kama jinai, kosa halifi unaweza ukadhani limekufa kumbe ni utaratibu wa wakati. Kupitia kwako, naomba kueleza wana CCM tuko makini kulinda utamaduni wa chama, na wanachama kutii viapo vyao,” amesema Dk. Bashiru.
Hawa ndio alikua anawashangaà Dr Lwaitama
 
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka 2020, Kwa hiyo aheshimiwe.
Na Mgombea uwenyekiti Chadema ni yule yule Mbowe! Chama kinachotetea demokrasia nchini Tanzania wakati chenyewe hakina demokrasia! Ahahahahahah!
 
77a00ec04d6edcc2823d3dadba9dd61f

Bernard Membe, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya Benard Membe, kutokuwa juu ya katiba ya chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Onyo hilo limetolewa leo tarehe 27 Novemba 2019 na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM, wakati akizungumza katika mahojiano na kipindi cha Konani kinachorushwa na Kituo cha ITV, kupitia chaneli yake ya Youtube.

“Membe ni mwanachama mwenye haki ya kikatiba lakini ana wajibu. Kwa hiyo kama anataka kuwa mwanachama wa CCM kama walivyo wengine, lakini wametupa ushindi tunaojivunia afutae utaratibu. Asipofuata utaratibu, atalazimishwa kufuata utaratibu,” ameeleza Dk. Bashiru.

Hata hivyo, Dk. Bashiru amesema Membe hakuwahi kujadiliwa katika vikao vya chama, licha ya kwamba hakuitikia wito wake, alipomtaka kuonana nae akiwa mkoani Geita.

“Hatukuwahi kumjadili na kwenye vikao hakuwahi kufika. Kosa halifi kama jinai, kosa halifi unaweza ukadhani limekufa kumbe ni utaratibu wa wakati. Kupitia kwako, naomba kueleza wana CCM tuko makini kulinda utamaduni wa chama, na wanachama kutii viapo vyao,” amesema Dk. Bashiru.


Utamaduni wa chama kuwa MWENEYEKITI HACHAGULIWI, bali anateuliwa ?
 
Hapo ndio ninapoipendeaga ccm!

Ccm inaweza kuwepo bila Membe, lakini Membe hawezi kuwa Membe bila ccm. Siyo kama wale wengine kwamba bila Mbowe hakuna chadema
[emoji23][emoji23][emoji23]Vituko vya wana chadema bwana.
 
Lakini kwa ufahamu wangu kiasi "utaratibu sio sheria", kwahyo muda wowote unaweza ukavunja utaratibu ili kunusuru kitu bila madhara na kushtakiwa popote.
 
Back
Top Bottom