Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Anasifiwa sana na wapinzani,inaonyesha anaweza kuharibu huyu,lazima tumbane mapemaKwani kafanya nini mbona malalamiko tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasifiwa sana na wapinzani,inaonyesha anaweza kuharibu huyu,lazima tumbane mapemaKwani kafanya nini mbona malalamiko tuu
Eti ile kusema sakata la bombardier yetu kuwa Serikali ya Canada haihusiki ndiyo mipovu yote hiyo kama amesukutua omo. Wale wanafunzi watakuwa wanasikitika sana mwalimu wao kuwehuka hivi.Ungetusaidia kafanya nini tena safari mpaka hii mikwara ya chama chenye democrasia ya juu inapigwa hivi.'' Niguse ninuke'' [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na kweli kwani mbinu hii imewapa ushindi wa 100% kwenye uchafuzi wa serikali za mitaa.Mtendaji si anaweza akafunga ofisi asiipate hiyo fomu au akashindwa kuirudisha? As simple and childish as that!
Wala hatumuogopi, tunafurahi kwa sababu anaturahisishia hoja ya kumuongezea muda Magufuli baada ya 2025!Ndiyo tutakayemchagua, mnamuogoooopa!!! Nguruwe wa Lumumba mnahangaika sana na Mbowe .
Wala hatumuogopi, tunafurahi kwasbabu anaturahisishia hoja ya kumuongezea muda JPM baada ya 2025!
Anataka kile kiti cha enziKwani kafanya nini mbona malalamiko tuu
Kwani 2020 mbali?Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka 2020
Muda umekaribia kuna jambo litatokea; huko Kubenea na Komu, kule Membe, Makamba Jr na Nape.Ngoja tusubiri. Mbivu na mbichi tutazijua.
Ndiyo hivyo mjiandae kisaikolojia, na wengine mrudi kwenu Burundi.Kwani 2020 mbali?