Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
dola ndiyo inawalinda lakini hawana loloteCCM nchi ishawashinda, kilichobakia ni ubishi tu kama ubishi mwingine!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dola ndiyo inawalinda lakini hawana loloteCCM nchi ishawashinda, kilichobakia ni ubishi tu kama ubishi mwingine!
Hivi kulikuwa na haja kutukana kiasi hiki?ni sehemu gani ya mwili wako inakuwasha kiasi hicho. Mtumie mamako aliyekulwa we pmumbavu huu ushuzi wako. Hivi nawe unajiita binadamu? Shenzy kabisa. Nafikiri mamako ndio amejiuzulu ndoa na babako. Post km hizi ndio zimeiua JF, we ni mchawi siyo bure
Afya ya akili ni tatizo kubwa hapa nchiniHivi kulikuwa na haja kutukana kiasi hiki?
Sasa hivi unajisikiaje
Kwamba Nchimbi ndo atachukua nafasi ya Chongolo ama?Habari ndio hiyo!.
Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.
Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.
Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.
Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.
If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...
Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P
Mkuu lakini barua yake aliyoiandika anasema sababu za kujiuzulu ni “kuchafuliwa mtandaoni”Habari ndio hiyo!.
Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.
Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.
Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.
Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.
If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...
Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P
Afanye chapu.
Hio nafasi apewe Ally Hapi anaweza
Maupuuzi ya ccm hatuna haja nayo mkuuHabari ndio hiyo!.
Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.
Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.
Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.
Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.
If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...
Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P
Next time unapokutana na maupuuzi ambao wewe huna haja nayo ni unapita mbali!, hii maana yake kuna watuMaupuuzi ya ccm hatuna haja nayo mkuu
ubishi kama wa mzee Mugabe ndio unaendelea nchini na kwakuwa hawataki chama chochote cha upinzani ki gain nguvu wataendelea kuwepo tu sababu hakuna mbadala.CCM nchi ishawashinda, kilichobakia ni ubishi tu kama ubishi mwingine!
Nasikia ni ChalamilaKwamba Nchimbi ndo atachukua nafasi ya Chongolo ama?
Na mkuu wa mkoa?Nasikia ni Chalamila
HapiNa mkuu wa mkoa?