Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Hili jambo lina mambo mengi nyuma yake.
Kwanza, kulikuwa na habari za ''kumchafua' ambazo ni kazi ya 'ndani ya CCM kupitia Vijana wao'

Pili, si kawaida barua ya kujiuzulu kuwekwa wazi. Ikiwa ameitoa Chongolo basi alikusudia kueleza Umma jambo.
Ikiwa imevujishwa na Ofisi, ni katika jitihada za kujisaifsha kwamba kilichotokea ni takwa la Chongo mwenyewe

Je, hili la Chongolo halikutarajiwa? Ukimsikiliza DAB siku alipokwenda Ofisi ndogo ya Chama alisema '' ... yeye anakosea na akikosea anaomba Msamha na kisha alimtaja Chongolo kwa kumsifia'' Hili lililonyesha kwamba kulikuwa na Ufa.
Kuondoka kwa Chongo hakuwezi kutengwa na Ujio wa DAB hata kama kuna sababu nyingine

Moja ya 'zana' anazotumia DAB ni vyombo vya habari kujitangaza. Hili alianza nalo tangu akiwa RC na Ofisi katika private media. Yote ilikuwa kuweka vyombo vya habari vya Umma na Private katika 'himaya yake.
Kazi ya kumchafua Daniel mitandaoni imefanywa na vijana , sijui ni wapi lakini ni ngumu kusema si ''vijana wake''

Tatizo ndani ya CCM kuna fukuto kubwa sana si kwa mbio za 2025 bali makundi kinzania. Ujio wa DAB ni tatizo kubwa zaidi kwasababu anahusishwa na uchafu lakini pia anakingiwa kifua. Swali kuna nani anakingiwa kifua namna hiyo?

DAB alikingiwa kifua na Mwendazake na hata baada. Wengi wa wanaCCM walikuwa wahanga pia wa utawala.
Hofu inayojaa ni kurejea zama zile ambazo DAB alikuwa kama naibu mkuu. Tangu ameingia hofu ipo wazi.

Anayeweza kurudisha nidhamu hawezi kutoka ndani ya timu ya leo, lazima atoke nje kama alivyokotwa Bushiri.

Kwa uoande mwingine, hili linaweza kuwa nusura ya Taifa , dalili za Punda kufa ni kupiga mateke!

Pascal Mayalla JokaKuu
 
Hili jambo lina mambo mengi nyuma yake.
Kwanza, kulikuwa na habari za ''kumchafua' ambazo ni kazi ya 'ndani ya CCM kupitia Vijana wao'

Pili, si kawaida barua ya kujiuzulu kuwekwa wazi. Ikiwa ameitoa Chongolo basi alikusudia kueleza Umma jambo.
Ikiwa imevujishwa na Ofisi, ni katika jitihada za kujisaifsha kwamba kilichotokea ni takwa la Chongo mwenyewe

Je, hili la Chongolo halikutarajiwa? Ukimsikiliza DAB siku alipokwenda Ofisi ndogo ya Chama alisema '' ... yeye anakosea na akikosea anaomba Msamha na kisha alimtaja Chongolo kwa kumsifia'' Hili lililonyesha kwamba kulikuwa na Ufa.
Kuondoka kwa Chongo hakuwezi kutengwa na Ujio wa DAB hata kama kuna sababu nyingine

Moja ya 'zana' anazotumia DAB ni vyombo vya habari kujitangaza. Hili alianza nalo tangu akiwa RC na Ofisi katika private media. Yote ilikuwa kuweka vyombo vya habari vya Umma na Private katika 'himaya yake.
Kazi ya kumchafua Daniel mitandaoni imefanywa na vijana , sijui ni wapi lakini ni ngumu kusema si ''vijana wake''

Tatizo ndani ya CCM kuna fukuto kubwa sana si kwa mbio za 2025 bali makundi kinzania. Ujio wa DAB ni tatizo kubwa zaidi kwasababu anahusishwa na uchafu lakini pia anakingiwa kifua. Swali kuna nani anakingiwa kifua namna hiyo?

DAB alikingiwa kifua na Mwendazake na hata baada. Wengi wa wanaCCM walikuwa wahanga pia wa utawala.
Hofu inayojaa ni kurejea zama zile ambazo DAB alikuwa kama naibu mkuu. Tangu ameingia hofu ipo wazi.

Anayeweza kurudisha nidhamu hawezi kutoka ndani ya timu ya leo, lazima atoke nje kama alivyokotwa Bushiri.

Kwa uoande mwingine, hili linaweza kuwa nusura ya Taifa , dalili za Punda kufa ni kupiga mateke!

Pascal Mayalla JokaKuu
Simba kuna kocha mpya na wasaidizi wake, unaelewa hilo?
 
Unajua fika kuwa wakati Makonda akiwa RC wa Dar es Salaam na Chongolo ni DC wa Kibindoni walikuwa hawapatani kwani kuna Mmoja kati yao ana Akili na Mmoja ni Mpumbavu Kiasili halafu leo tena unaowaleta pamoja ndani ya Chama Tawala ( CCM ) huku kwa Makusudi, Mahaba na kupenda Kudanganya na Wanafiki unampa Jeuri na Upendo wa wazi wazi Mtu ambaye ndani ya Katiba ya Chama ni mdogo kuliko Katibu Mkuu na unataka Katibu Mkuu amnyenyekee yule anayetakiwa Kumyenyekea Yeye.

Kwa hapa / kwa hili kama ni la kweli ninampongeza sana Bwana Chongolo kwani alichofanyiwa ilikuwa ni Dharau isiyovumilika.

Na najua Chongolo ana Watu wake ndani ya System ya Nchi na Chama ( CCM ) ambao wamemdokeza mapema kuwa Kikao cha leo ( cha CCM ) anaenda Kung'olewa hivyo nae kawa very smart kwa kuwawahi kwa kupeleka Barua ya Kujiuzuru hivyo hatongolewa tena hii leo ( Jumanne ) Kikaoni CCM kwa Mipasho ya Paje Kizimkazi Zanzibar.
Performance ya Chongolo kwenye chama ikekuwa chini sana. Chama kimekosa mvuto, mikutano hadi kusombelea watu. Acha apumzike.
 
Umefikiri vyema...

Hii hoja yako, likely, imeunusa ukweli wa maamuzi ya huyu KM wenu...

Nafikiri pia, baadhi ya viongozi wakuu wa CCM hawakubaliani Paul Makonda a.k.a DAB kupewa nafasi hiyo ndani ya chama kutokana na tatizo la uadilifu wa kimaadili alilonalo huyu uliyemwita "dogo" yaani Paul Makonda..

Mimi sitashangaa hata Makamu Mwenyekiti wenu Abdulhaman Kinana akitupa jezi pia..!!
Ngoja Tusubiri tuone !!
 
Baada tu ya DAB kuteuliwa ile video ikarushwa mitandaoni, binafsi nilipoiona nilihisi hili lingetokea. Na siyo kwa huyu Chogolo tu, ni wengi ndani ya CCM hawakupendezwa na uamuzi wa Mwenyekiti wao kumteua DAB kuwa Mwewnezi wa chama, na wengi waliongea chini chini kupinga uteuzi huo.

Lakini nadhani na Mwenyekiti ana lipa fadhila kwa DAB kiaina. Kuna video ili pita pia ikionyesha DAB alivyo mpigia chepuo kuwa Mgombea mwenza wa hayati Magufuli, toka kwenye U-spika wa bunge la katiba hadi kuwa mgombea mwenza na hatimaye leo Mwenyekiti wa CCM taifa.

Baada ya huyu hatujui nani atafuata, ila ccm wengi hawakumfurahia DAB kurudishwa hata kidogo.
Kama Chongolo angekuwa hataki kufanya kazi na DAB basi angejiuzulu toka kipindi yeye ni mkuu wa wilaya na Makonda ni RC ! Lakini hadi sasa sidhani kama sababu ni Bashite…Chongolo atakuwa awezi siasa maana kwenye siasa lazima uwe tayari kufanya kazi na yeyote yule ata aliyekutukana ..sasa kama amejiuzulu kisa DAB basi ni mmoja ya watu wajinga!
 
Back
Top Bottom