Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,358
- 4,263
Typing error Uncle Fujo 2024 na 2025Sijaelewa mkuu 2014 na 2015? Au hichi kijiti kinachofuka Moshi kinanipeleka puta?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Typing error Uncle Fujo 2024 na 2025Sijaelewa mkuu 2014 na 2015? Au hichi kijiti kinachofuka Moshi kinanipeleka puta?
Hakika mkuu, Chongolo ni mtu poa sana. Sema tu amekosa ile kariba ya ubabe babe na ukorofi ndiyo maana watu wanaona kama amepwaya. By the way typing error 2024 na 2025Mimi ni Wamrengo wa kushoto kiasili. Huyu chongolo ni mtu mwema Sana ni mtu haswa na naamini hapendi makandokando
Juu kisha inatukojolea tulio chini😄😄Umekuja umesoma na umetia lako.
CCM juu, juu, juu zaidi.
Sijui ni sifuatilii siasa siku hizi au nimezichoka, sielewi!
Baada tu ya DAB kuteuliwa ile video ikarushwa mitandaoni, binafsi nilipoiona nilihisi hili lingetokea. Na siyo kwa huyu Chogolo tu, ni wengi ndani ya CCM hawakupendezwa na uamuzi wa Mwenyekiti wao kumteua DAB kuwa Mwenezi wa chama, na wengi waliongea chini chini kupinga uteuzi huo.Habari ndio hiyo!.
Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.
Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.
Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.
Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.
If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...
Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P
Nini tafsiri ya usemi wako? Nimeupenda sanaUkipiga ngoma uangalie na jua!
Ya PM tu ndio haijawahi timia!Nimeamini jf ni chanzo Cha habari nyingi Sana,tetesi ya makonda kulamba uenezi nilisikia hapa hapa ,nikachukulia POA Kama vile umbea umbeya,mwisho ikawa,pia Raisi magufuli kupitishwa kuwa mgombea uraisi nikianza kusikia mapema kupitia hapa hapa,,makamba kuondokewa nishati nikianza mapema kusikia Kama tetesi vile ,hatimaye ikawa,na hili la chongolo laweza kuwa
Umefurahi anawekwa wa IjumaaUmekuja umesoma na umetia lako.
CCM juu, juu, juu zaidi.
Kama ni kweli CCM imepoteza mtu makini snUmemamaliza kila kitu, mjadala uishie hapa
Vip bado ni barua fake ndugu mjumbe Pemba empire?Kuna barua feki inatembezwa au kusambazwa mitandoni eti chongolo Kajiuzulu.
Chongolo hajajiuzulu yupo ofisini anachapa kazi. Hii barua ni fake..angalia hata paragraph ya Mwisho. Mmegushi hata saini yakeView attachment 2827408
Unaona wivu? Pole sana.Umefurahi anawekwa wa Ijumaa
Mwenyekiti, Makamu wote, Ma-naibu wote ni watu wa Ijumaa, haya ngoja tuoneUnaona wivu? Pole sana.
Hata mimi siamini mpaka dak hii hakuna uthibitisho wa chama chakeVip bado ni barua fake ndugu mjumbe Pemba empire?
Na wewe hupendi hilo?Mwenyekiti, Makamu wote, Ma-naibu wote ni watu wa Ijumaa, haya ngoja tuone