Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
UmezeekaSijui ni sifuatilii siasa siku hizi au nimezichoka, sielewi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmezeekaSijui ni sifuatilii siasa siku hizi au nimezichoka, sielewi!
MhnSasa nasubiri tetesi za Mpango no mpango mzima!!
Huyu siyo hasimu wa babu wa Bumbuli kweli!!!Kuna fununu kuwa Abdallah Majura Bulembo kateuliwa kumruthi Daniel Chongoro
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Huo ndio ukweli...from reliable sourceMwenyekiti, Makamu mwenyekiti halafu Katibu mkuu awe alhaj tena?
CCM kama ACT Wazalendo?[emoji23]
Hawawezi kufanya hivyo..Kuna fununu kuwa Abdallah Majura Bulembo kateuliwa kumruthi Daniel Chongoro
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Huyu Bulembo si wanasema hajui kusoma na kuandika , anawezaje kuwa Katibu Mkuu ?Kuna fununu kuwa Abdallah Majura Bulembo kateuliwa kumruthi Daniel Chongoro
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Huyo ni Lumumba buku 7 hao chawa hawana chao upepo ukivuma na utawala mwingine wanatupliwa mbali.Bado ya Lucas mwashambwa naye ajiuzuru tu.
Pengine hayupo...Uko CCM ni nani mwenye maadili anaweza simama kumsema mwenzie kuwa hafai kabisa kuwa CCM au kuwa kiongozi kabisa! Nani msafi ndani ya CCM?😂😂😂😂😂
unaweza kuwajibika kwa hiari ukapumzike zako na familia yako, unaweza kuwajibika kwa sababu za kiafya,Kuwajibika mwenyewe kwa hıyarı ina maana kuna makosa amefanya?