Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ona HuyuBashiru alitolewaje? Hakuna mwenye hati miliki ya CCM sio kama CHADEMA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona HuyuBashiru alitolewaje? Hakuna mwenye hati miliki ya CCM sio kama CHADEMA!
Sukuma gang ndio mnamchafua ChongoloBashiru alitolewaje? Hakuna mwenye hati miliki ya CCM sio kama CHADEMA!
Jamaa yupo vizuri sana !!mwanasiasa makini husoma alama za nyakati kwa umahiri mkubwa sana
Uongozi imara, shupavu na makini ni pamoja na kuwajibika mwenyewe kwa hiari
Kati ya Jamii Forum, mleta uzi na wewe Mchaga feki Gilbert A Massawe , nani mbumbumbu!!??Source mfanyakazi wa online media😂😂😂😂
Kweli hii nchi mbumbumbu was amejaa.
Hapo sasa ndio patamu !! 😅🙏Kinana yeye ni lini atajiuzulu? 🤣🤣🤣🤣
😀😀😀 Tatizo hata Nikikuuma sikio huwezi kunielewa! Ila nikwambie tu! Msoga gang na mama hawaelewani! Mama kaona Sehemu ya Kukimbila ni Sukuma gang!Sukuma gang ndio mnamchafua Chongolo
Kuwajibika mwenyewe kwa hıyarı ina maana kuna makosa amefanya?mwanasiasa makini husoma alama za nyakati kwa umahiri mkubwa sana
Uongozi imara, shupavu na makini ni pamoja na kuwajibika mwenyewe kwa hiari
Kati ya Jamii Forum, mleta uzi na wewe Mchaga feki Gilbert A Massawe , nani mbumbumbu!!??Source mfanyakazi wa online media😂😂😂😂
Kweli hii nchi mbumbumbu was amejaa.
Inawezekana ni kweli au pia ni uzushi !!Wadau hizi habari ni za kweli au ni uzushi?
Ni sahihi kabisa na kwenye siasa ni Bora zimwi likujualo halikuli likakwisha.😀😀😀 Tatizo hata Nikikuuma sikio huwezi kunielewa! Ila nikwambie tu! Msoga gang na mama hawaelewani! Mama kaona Sehemu ya Kukimbila ni Sukuma gang!
Tengeneza mahakama yako ,umshitaki hukoMahakama ipi? Hatuna mahakama Tanzania, hata mkimtetea huyo mtu wenu hamuwezi kumsafisha kwa ushenzi aliowafanyia watu. Kuna siku atalipia matendo yake maovu.
Umefikiri vyema...Habari ndio hiyo!.
Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.
Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.
Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.
Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.
If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...
Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P
Haa haa 🥺🥺 yamekuwa haya tena..!??Hivi chongolo ndo nani? Hakuwa na ushawishi wowote wa kujua uwepo wake! Aondoke tu hamna namna!