Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuna ndoa isiyo takatifu?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amefunga ndoa Takatifu
Taarifa zaidi zitakujia
View attachment 3001051
Ndoa ya Mkeka siyo takatifu ππKuna ndoa isiyo takatifu?
Viti maalumu watapumua kidogo!Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amefunga ndoa Takatifu
Habari zaidi za mnuso na mengineyo zitakujia
View attachment 3001051
Ipo, ile ya mkeka au kule mbagala inaitwa mwajalaKuna ndoa isiyo takatifu?
Kwani Kuna ulazima kuhoji Kila kitu?Kuna ndoa isiyo takatifu?
unamjua?Raha sana kuoa dada anayejitambua
Upendo Peneza Msuya atanuna sana πππViti maalumu watapumua kidogo!
Kasoma seminari gani huyu wewe?Hongera kwake Mseminari J J Mnyika πΉ
Kama huyu bro Ambaye alinipita madarasa matano ndio anaoa Leo, mi ni naaaaani nikafunge ndoa..Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amefunga ndoa Takatifu
Habari zaidi za mnuso na mengineyo zitakujia
View attachment 3001051
Hayo ni mawazo ya kijuha sanaMwanamke gani huyo. Katibu mkuu katika zama hizi anaoa mwanamke asiye na tako au kalazimishwa na mbowe kumuoa huyo binti?
Umejuaje kuwa anajitambua?ππRaha sana kuoa dada anayejitambua
Vipi kama ulisoma MEMKWA??Kama huyu bro Ambaye alinipita madarasa matano ndio anaoa Leo, mi ni naaaaani nikafunge ndoa..
Mwamba kamkomesha baada ya kuhama chama!Upendo Peneza Msuya atanuna sana πππ