Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Kuhoji ndoa takatifu ni ndoa gani ndio kuhoji kila kitu ??Kwani Kuna ulazima kuhoji Kila kitu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhoji ndoa takatifu ni ndoa gani ndio kuhoji kila kitu ??Kwani Kuna ulazima kuhoji Kila kitu?
Zina tofauti na ndoa za Haji Manara??Ipo, ile ya mkeka au kule mbagala inaitwa mwajala
Utazidi kuwa mwanasiasa bora, big up!Hongera zake.
😀😀😀😀😀Viti maalumu watapumua kidogo!
hakunaZina tofauti na ndoa za Haji Manara??
Ila Wewe Umeamua Kupasua Dufu....HaaNdoa ya Mkeka siyo takatifu 😂😂
Kupanga Ni KuchaguaKama huyu bro Ambaye alinipita madarasa matano ndio anaoa Leo, mi ni naaaaani nikafunge ndoa..
Huna akiliKajichanganya
kuoa ni upumbavu ya heri mpiga nyeto kuliko mpuuzi anayeoa
MkuuKafunga au kabariki!!?
KafungaKafunga au kabariki!!?
Hata mimi nilitaka kusema hivyo.Kuna kipindi unakuwaga na akili sanaMwanamke gani huyo. Katibu mkuu katika zama hizi anaoa mwanamke asiye na tako au kalazimishwa na mbowe kumuoa huyo binti?
Wanafunga walio bikra mkuu!waliokula na kuliwa wanabariki!!Mkuu
Kikristo Ndiyo Kufunga Hata Kama Unavyosema Ikiwa Ndivyo
Hongera sana kwako Mnyika na mkeo.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amefunga ndoa Takatifu
Habari zaidi za mnuso na mengineyo zitakujia
View attachment 3001051