Wale jamaa wenye matenga hawajazuia kwa hofu ya kuwepo vitendo vya kigaidi?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amefunga ndoa Takatifu
Habari zaidi za mnuso na mengineyo zitakujia
View attachment 3001735
Teh teh 😃 😃 acha mzaha aiseeeeeeViti maalumu watapumua kidogo!
Dah mwenyewe hapa 29 ila naonekana mwenye hatia kama haini vileKumbe watu wanachelewa sana kuoa Mimi na 29 naambiwa ndoa lini
kwamba lazima shemeji awe na chura vinginevyo siyo wife materialUmecheka nini sasa mkuu. Si unaona shemeji yake Erythrocyte alivyo flat mkuu? Atakuwa kachaguliwa na Mbowe huuo Mke.
Ni BAWACHA?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amefunga ndoa Takatifu
Habari zaidi za mnuso na mengineyo zitakujia
View attachment 3001735
Kwanini?Ni BAWACHA?
Ila nasikia jamaa ni bahili sana! Ataweza kweli kuishi na mke? Anyways, hongera zao maharusi!!!Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amefunga ndoa Takatifu
Habari zaidi za mnuso na mengineyo zitakujia
View attachment 3001735
Mheshimiwa wa awamu ya tatu alikuwa na mke?Aisee bonge la demu, hakika mwamba kapata mke. Ila nilichokiona kumbe hiki chama mfu hakikuwa na viongozi yaani akili zenu chama mfu chadema mnakubali kuongozwa na mtu ambaye hata bei ya chumvi hajui, maana inaonekana Mh. Mnyika alikuwa bado anaishi kwa wazazi wake
Dah umeongea jambo la msingi sana wakati nipo kwenye ubora wangu nilibahatika kuwapitia hao madada wa mjini baada ya hapo nikaoa nimetulia tuli na familia yangu.Hangaika unavyohangaika ila mwishoni ukitaka kuoa kuwa makini sana upate mwanamke atakayeweza kuilea vizuri familia yako, mambo ya weupe, kalio kubwa, sura nzuri, miguu ya bia, kiuno nyigu, rangi ya mtume, ngozi ya malaika havisaidii kitu chochote...wale wanaoitwa wadada wa mjini always hutumika tu kama kipozeo cha nafsi huwa hawaolewi hao abadani, at last wanawake wenye akili tena hao wa kawaida ndiyo huwa mama wa watoto.
Kipara bila akili ni tako!Viti maalumu watapumua kidogo!
Za shiloleHongera zake.
Hana tako kwani anakalia Nini?Mwanamke gani huyo. Katibu mkuu katika zama hizi anaoa mwanamke asiye na tako au kalazimishwa na mbowe kumuoa huyo binti?