Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
Pesa pesa pesaaa
 
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
Machoco ya LUMUMBA yote yanamwagoka hapa fatilia comment utayajua tu jinsi yanavyobana pua
 
UJinga wala sio tatizo. Kila mtu ni mjinga kwa upande wake katika jambo flan.
Ni sawa na msigwa tu, ndivyo ilivyo hata kwasis wengine, tunaamini mabadiliko yanapaswa kuanzia ndani ya chama ili tuyapeleke nje, haiwezekan tu kuachana na chama kisa humkubali mwenyekit na mambo yake, but hailalish pia kuwa maadam tuko ndani bas tukae kimya.

Mmezoea kufukuza fukuza, ni hao hao walamba viatu, wengine tuna jasho letu ndani ya cdm for 20 years hatudondoki kindezi ndezi tu kisa Mbowe. Si umemsikia Msigwa? Basi hao ndio watu wenyr akili. Atanyooshwa tu humo humo chamani.
Sawa mkuu
 
Tanzania kwa sasa hakuna upinzani wa kweli, wapinzani wa kweli walikuwa Mtikila na Malima tu.
Kwa muono wako,yajayo yanasikitisha,mkijitahidi sirikali mseto,uchaguzi ujao na ole wenu muikaribie chadema,sharti la kwanza kiongozi mkuu atoke kwetu🤪
 
Wafuasi wake wanawabariki Wazungu! Rejea mwenye jina la dawa! Utakuwa umejichanganya!
Wazungu ndiyo waanzilishi wa nchi pendwa Tanganyika,na bila Wazungu nisingesoma,kwa hiyo Wazungu wana faida katika maisha yangu.Wameleta elimu,wameleta Serikali,wameleta hospitali,wameleta reli na barabara,wameleta umoja,wameleta fedha,wameleta dini safi na wameleta ubinadamu.Mimi ni nani nimchukie mzungu ambaye ananifanya nionekane msomi.
 
Unatakaje wewe Chadema ife au? Halafu? Matatizo ya nchi hii utatusemea wewe? Msijidanganye bila upinzani nchi hii isingekuwa hata na flyover Wala miradi mwingine yoyote unavyoiona. Msituambukize ujinga
Nakubaliana nawe, upinzani ni muhimu Tanzania. Bila wao mengi yasingefanyika.

Nawe kubaliana nami kuwa UPINZANI BILA M/KITI MBOWE UNAWEZEKANA. Tena utakuwa na nguvu sana.
 
Wazungu ndiyo waanzilishi wa nchi pendwa Tanganyika,na bila Wazungu nisingesoma,kwa hiyo Wazungu wana faida katika maisha yangu.Wameleta elimu,wameleta Serikali,wameleta hospitali,wameleta reli na barabara,wameleta umoja,wameleta fedha,wameleta dini safi na wameleta ubinadamu.Mimi ni nani nimchukie mzungu ambaye ananifanya nionekane msomi.
Mshukuru M Mungu. Iko hivi- Bila mzungu ungesoma tu na ungeishi katika kijiji hicho hicho, na katika nchi. Haya majina ya vijiji na nchi ni uwakilishi/utambuzi tu. Nchi ingeweza kuitwa Tangaweka, Tangawizi, Tangazuri n.k lakini isingebadili sana maisha yako. Jina ni Jina tu na wala hakuna garantii kuwa baada ya miaka 20 utabaki na jina hilo Tanganyika.
 
Mshukuru M Mungu. Iko hivi- Bila mzungu ungesoma tu na ungeishi katika kijiji hicho hicho, na katika nchi. Haya majina ya vijiji na nchi ni uwakilishi/utambuzi tu. Nchi ingeweza kuitwa Tangaweka, Tangawizi, Tangazuri n.k lakini isingebadili sana maisha yako. Jina ni Jina tu na wala hakuna garantii kuwa baada ya miaka 20 utabaki na jina hilo Tanganyika.
Nenda kwenye misitu ya Amazoni kule Bara la Amerika Kusini kuna jamii imekataa mabadiliko na mpaka sasa wanatembea uchi wanaume,wanawake na watoto na ukienda na nguo wanakuona kama mnyama.
 
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
Ccm wamegeuka kuwa wapiga debe wa chadema , hii ni hatua kubwa sana kwa chadema kazia hapo hapo ,kinachosikika ni vilio toka kwa machawa ya ccm huku wanachadema wametulia tuli.

Swali

Chadema ikisambaratika si ndo nafuu kwa ccm sasa kelele za nini tena?
 
Kipindi cha uchaguzi kimefika. Mengi yatasemwa mengi yatatokea. Bila uongozi thabiti CDM inaweza kusambaratika kwa sababu chama tawala wana mbinu nyingi sana za kufanya ili wabaki madarakani. Wananchi tuna imani na CDM. Uongozi unapaswa kuwa imara na thabiti kuanzia sasa la sivyo ni maumivu kwa kwenda mbele. Isitoshe CDM kushindwa kuwatoa Covid 19 bungeni kunatia shaka sana kwamba wamekubaliana na chama tawala kuhusu huo mpango wa kihuni. Hii itakigharimu sana chama. Hata yule mmojawao aliyeunga juhudi yuko bungeni kwa tiketi ya chama kipi?
 
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
Aisome Erythrocyte
 
Ccm wamegeuka kuwa wapiga debe wa chadema , hii ni hatua kubwa sana kwa chadema kazia hapo hapo ,kinachosikika ni vilio toka kwa machawa ya ccm huku wanachadema wametulia tuli.

Swali

Chadema ikisambaratika si ndo nafuu kwa ccm sasa kelele za nini tena?
Umegonga mle mle asante mkuu.
 
Msigwa alisema ana nguvu zake na "Personality" yake pale. Nadhani wale "Terrible teens" nao wana nguvu na personalities zao pale. Kila mtu apambane. Hakuna kuachwa achwa.
1717670283917.jpeg
 
Kinachoiumiza CHADEMA kwasasa ni uhuru walopewa mkuu ni kama unawaacha uchi Kwa Kila wanalofanya mbele ya wananchi...

Mikutano ya hadhara wanasuguana wenyewe.

Maandamano wanasuguana ndani Kwa ndani wenyewe.

Chaguzi za ndani ni taka taka tupu na mdudu Kila Kanda.

KIMSINGI ILE PRIVACY ILOKUWEPO KUTOKANA NA KUNYIMWA BAADHI YA MAMBO KIDEMOKRASIA KULIWAJENGA ZAIDI.
Huku ni kuona kwako, pengine ukitegemea CHADEMA itasamaratika itoe mwanya kwa wachukuwa mateka CCM.
Kuna wengine wanaona tofauti na unavyoona wewe.
Matumaini yako ya CHADEMA kusambaratika yanatokea huko huko ndani ya CCM yenyewe, na hakuna uhakika wowote kwamba yatafanikiwa.
 
Back
Top Bottom