Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umejiunga Jana kwa ajili ya upotoshaji tu. Watu wameshaamka wanajua ipi propaganda, upi ni ukweli.Ujasiriamali wa siasa
Chama kiundwe na mfumo kisha kiirejeshe nchi kwenye misingi ya waasisi?! Hao mfumo ndio sababu ya sisi kufika hapa kama nchi.Hivi vyama vyetu vya siasa vimeshaharibiwa na mafisadi iwe wa pesa au madaraka.
Mfumo utengeneze chama kipya kitakachoirudisha hii nchi kwenye misingi ya waasisi.
Muda ndio sasa.
Masta acha kujipa tabu ya kutumia akaunti nyingi nyingi kufungua nyuzi na kukomenti mwenyewe unajaza tu seva chukua muda wako kusifia nakuzungumzia mema ya chama chako CDM huiwezi na hutakuja kuiweza wameshindwa watu wenye kumiliki majeshi hizi story zakukichafua zilianza tangia 1992 wewe ukiwa huko porini ukifanya vibarua kama manamba kwenye mashamba ya makada wa sisiemu Mbarali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣na wewe sio chawa wa kwanza tumia akili kidogo upate hata teuzi usaidie familia yako,njoo na content ambazo at least uitwe kwenye mega ya walaji uokote hata makomboCHADEMA kwisha habari yao.Mwisho wa udalali wa kisiasa. Ni mwisho wa uchumia tumbo.
Naunga mkono hoja yakoMoja kati ya mambo yaliyonishangaza ni HAYATI MAGUFULI kutumia nguvu kubwa kuiua CHADEMA....
wape uhuru nje na ndani utaziona rangi zao.
Kwani Erythrocyte anasemaje?😎Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho...
Hiyo ID ndio zile 100 mpya zinazofadhiliwa na Amos Makalla ichunguze vizuriKwani Erythrocyte anasemaje?😎
Duh.Hiyo ID ndio zile 100 mpya zinazofadhiliwa na Amos Makalla ichunguze vizuri
Mheshimiwa Mboqe njoo utupe majibu ya hizi fukunuku kuendea uchaguzi zijazo!TISSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS
Watajuana wenyewe. Mwisho wa siku CHADEMA, CCM, ACT na wengine wote ni wajasiriamali wanaotarajia mtaji wa wananchi waneemeshe matumbo yao.
Sijui watashindwa vipi, maana Mbowe hana la ziada tena la kuifanyia CHADEMA. Lililo baki akilazimisha ni kuiua CHADEMA.CHADEMA wakishindwa kumwondoa Mbowe ndio mwisho wa chama chao, watakuwa kama TLP.
Na CHADEMA HAIKUFA.Moja kati ya mambo yaliyonishangaza ni HAYATI MAGUFULI kutumia nguvu kubwa kuiua CHADEMA....
wape uhuru nje na ndani utaziona rangi zao.
Kinachoiumiza CHADEMA kwasasa ni uhuru walopewa mkuu ni kama unawaacha uchi Kwa Kila wanalofanya mbele ya wananchi...Ila unakosea sana kuhusu hilo la "wape uhuru..."
Sasa wewe unatesekesa na nini wakati ni mambo yao?CHADEMA wakishindwa kumwondoa Mbowe ndio mwisho wa chama chao, watakuwa kama TLP.
Mbona toka Jiwe yuko madarakani nilisikia kuwa Chadema imekufa! Kumbe ulikuwa uzushi tu kama ulivyoandika hapa, pole chawa wa BashiteCHADEMA lazima wasambaratike na kupasuka mwaka huu.
Sasa kwani lazima chadema? Si kuna vyama vingine, amia hata ACT kupunguza makasirikoMbowe hawezi kila siku anahubiri suala la demokrasia alafu ukimwangalia yeye tu unagundua haijui demokrasia au anaijua ila yupo kwa maslahi yake binafsi.
Siasa imewekwa kama chambo tu ya kupigia hela. Watu wanaichukia sana CCM ila chadema imekosa agenda sahihi za kuitoa CCM. Inafika hatua watu wanaona basi acha wasubiri mkombozi labda ndani ya Ccm.
Kiufupi mbowe anachosha!