Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah ila vijana wa CHADEMA mnachekesha sana
Sasa kati ya wewe na hao vijana nani anachekesha? Kutwa kufatilia habari za Chadema kama vile wewe ndiye katibu au msemaji wao, bila hao Chadema unadhani ungekuwa unalipwa kwa kazi gani? Ungelipwa kwa kuleta habari za TLP [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni kweli watu wameichoka Ccm ila cdm bado haiaminiki kabisaaa. Mbowe watu tulishamshtukia kitambo sanaaa..
Haya yanayoendelea wala huwez kusema eti ni propaganda za kuwapoteza cxm. Not true
Sasa kama ulishamshitukia toka mapema kwanini usihamie ACT au TLP na uachane na CDM? Huoni kama wewe ndiye mjinga
 
Mimi huwa najiuliza, mbona wanaopiga debe Kila siku ya kumwondoa Mbowe toka Kwenye uenyekiti wake ni wale mashabiki wa Sisiem??[emoji9]
Shangaa na wewe. Ila wanachama wao wameridhia
 
Sasa kama ulishamshitukia toka mapema kwanini usihamie ACT au TLP na uachane na CDM? Huoni kama wewe ndiye mjinga
UJinga wala sio tatizo. Kila mtu ni mjinga kwa upande wake katika jambo flan.
Ni sawa na msigwa tu, ndivyo ilivyo hata kwasis wengine, tunaamini mabadiliko yanapaswa kuanzia ndani ya chama ili tuyapeleke nje, haiwezekan tu kuachana na chama kisa humkubali mwenyekit na mambo yake, but hailalish pia kuwa maadam tuko ndani bas tukae kimya.

Mmezoea kufukuza fukuza, ni hao hao walamba viatu, wengine tuna jasho letu ndani ya cdm for 20 years hatudondoki kindezi ndezi tu kisa Mbowe. Si umemsikia Msigwa? Basi hao ndio watu wenyr akili. Atanyooshwa tu humo humo chamani.
 
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
Unatakaje wewe Chadema ife au? Halafu? Matatizo ya nchi hii utatusemea wewe? Msijidanganye bila upinzani nchi hii isingekuwa hata na flyover Wala miradi mwingine yoyote unavyoiona. Msituambukize ujinga
 
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
🤔🤔
 
What if (I'm just saying what if) Mr Chairman naye yumo kwenye hiyo payroll, huku makubaliano ni kwamba yeye anachuma pesa ilhali Sisiemu yenyewe inavuna utawala?

Impossible, right?
🤔🤔👍
 
Back
Top Bottom