Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Mabadiriko ya kweli hayatakuja kutokea tukiwaendekeza wanasiasa aina ya Mbowe na Zitto, NEVER.
Hawa ni madalali tu
 
Mnyika aache upuuzi wa kumsusia tajiri anayemiliki chama chake. Aache ukuda kwenye kwenye mali za watu. Atuachie chama cha familia salama. Mbowe fukuza huyo Mnyika na Lissu.
 

Kuna mtu mwenye uchungu na chadema "''ambae anatokea kwenye inner cycle ya chadema"" kwa Sasa wa kumzidi Freeman Mbowe.

To be true & correctly Kuna ambao WAMEAJIRIWA kazi yao Ni moja TU kuudhohofisha upinzani na wapo kwenye payroll ya serikali ya CCM............

Fear of unknown kwa mwenyekiti Freeman Mbowe Ni kuachia ngazi hili hato ruhusu mpaka ahakikishe anakiacha chama kwenye mikono SALAMA
 
Huyu aliyepugwa Risasi 16 na Leo ni kilema unasemaje?

Pesa na mali zinatafutwa vipi kuhusu mguu wa Lissu ataurudisha siku moja?
 
CHADEMA kwisha habari yao.Mwisho wa udalali wa kisiasa. Ni mwisho wa uchumia tumbo.
Lukas

Maadui wa taifa tulio aminishwa tangu Uhuru Ni UJINGA,UMASKINI NA MARADHI πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwa navyo ziona hoja zako inaonyesha moja ya maadui wa taifa la Tanzania na chadema pia imeongezea kwenye maadui wa taifa πŸ˜ŠπŸ˜‚

Poor! You
 
Joined Yesterday

Ngoja tuone mwisho wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…