Unaweza kukuta Mbowe na Lissu kitu kimoja Yale maigizo kuwapiga chenga watesi wa Mbowe.Wengi humu mna uwezo mdogo sana wa kuelewa
mambo ni mengi muda hautoshi, vipi kuhusu mgombea urais, hali ipoje kwa sasa? Maana CCM waeishamaliza safu yao ya juu, CHADEMA itasubiri mpaka lini?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
Si kwa ugomvi mdogo wangu. Mimi nawe tulikuwa wote team mbowe na wana ccm wengi nyuma yetu akina variablechoice,lucas mwashambwa nk sasa turudi Chadema. Amepatikana mtu imara.Wengi humu mna uwezo mdogo sana wa kuelewa
watu wa mbowe wote ni outHivi mkuu yule msemaji wa chadema somebody Makene yupo wapi??
Hana sifa hizo na haiwezekaniKatibu Mkuu atakuja kuwa Godbless Lema
katiba ipi?Mnazidi kuwavuruga vibaya sana kijani na yellow... Na hivi hawakufanya uchaguzi wa kueleweka kikatiba!
Kitambo sana alisharudi CCM na kuzawadiwa kacheo fulani hivi kadogo kwenye serikali. Nadhani ni DAS, katibu tawala wa wilaya kama sijakosea.Hivi mkuu yule msemaji wa chadema somebody Makene yupo wapi??
sifa za katibu mjuu ni zipi?Hana sifa hizo na haiwezekani
Godbles LemaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
Chadema haiwezi kuvunja katiba ya Nchi kama ccmmambo ni mengi muda hautoshi, vipi kuhusu mgombea urais, hali ipoje kwa sasa? Maana CCM waeishamaliza safu yao ya juu, CHADEMA itasubiri mpaka lini?
Mtoto akililia wembe apewe! lema apeweTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
ccm imevunja vipi katiba ya nchi hebu tufahamisheChadema haiwezi kuvunja katiba ya Nchi kama ccm
Hatakiwi kua mwanaharakati. Anatakiwa kua smart zaidi kichwani sababu yeye ndo mtendaji mkuu wa chama. Lema ni mwanaharakati anafaa nafasi ya uenezisifa za katibu mjuu ni zipi?
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
Mnyika anaendelea, LEMA Naibu Bara.Atakuwa lema, chadema sasa itaongozwa na wehu watupu
Wala hata haihitaji ramli, ni Lema MungubarikiTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF
sidhani kama hizo sifa zipo kwenye katiba ya chadema,na uteuzi huo utafata mwenyekiti wao anataka naniHatakiwi kua mwanaharakati. Anatakiwa kua smart zaidi kichwani sababu yeye ndo mtendaji mkuu wa chama. Lema ni mwanaharakati anafaa nafasi ya uenezi
Ndo mwisho wako weweTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu mpya wa Chadema atatangazwa mchana huu
Bado haijajulikana ni nani hasa, japo kuna Majina kadhaa yanatajwa.
Juhudi zangu za kulazimisha kuvujishiwa jina kwa manufaa ya JF zinaendelea, Nzi wangu akiweza tu kunusa basi haraka sana kwa chap nalileta jina hapa
Usiondoke JF