Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda akamatwa na Polisi

Msifanye makosa oktoba,jitokezeni kwa wingi tuondoe hili balaa kwenye nchi yetu .
 
Mbona


Mbona taasisi nyingine za dini huwa zinatoa waraka kila kukicha lakini hatuoni haya ya kukamatwa ksma ilivyo kwa sheikh Ponda! Huyu ndiye sheikh pekee aliyebaki upande wa ukweli #free_sheikh_Ponda
Hivi wewe unajua kweli historia ya Ponda au unaongea tu. Kwa nini polisi hawajawakamata hao waislamu wengine mnaodai wameuandaa huu waraka wamkamate ponda tu. Serikali ina mkono mrefu haiwezi kukurupuka tu kumkamata tu hasa kwenye haya masuala ya kidini.
 
Sheikh Ponda alisema waislam huwa hawana sera, yote wanayokubaliana huwa hayatekelezwi kwasababu wepesi kusalitiana, kwakudanganywa ama kwa pesa au vyeo.

Waraka huo hata kama hakuutoa, "message sent and delivered".
 
awamu ya 5 inaogopa sana watu makini yaani!
 
Asanteni sana Jeshi la polisi kwa fursa kuhamasisha wadau wengi wafatilie andiko husika ambalo ni mkuki wa moyoni kwa Watawala.
 
Asanteni sana Jeshi la polisi kwa fursa kuhamasisha wadau wengi wafatilie andiko husika ambalo ni mkuki wa moyoni kwa Watawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…