Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atatangulizwa mama yako nguruw# wwHUYU FALA PONDA SI WAMTANGULIZE TU.
Wewe pia ni shabiki wa huyu shoga? Atangulizwe tu maana anawashwa fa.la huyuatatangulizwa mama yako nguruw# ww
kwa mlilolifanya leo subirieni
Hivi wewe unajua kweli historia ya Ponda au unaongea tu. Kwa nini polisi hawajawakamata hao waislamu wengine mnaodai wameuandaa huu waraka wamkamate ponda tu. Serikali ina mkono mrefu haiwezi kukurupuka tu kumkamata tu hasa kwenye haya masuala ya kidini.Mbona
Mbona taasisi nyingine za dini huwa zinatoa waraka kila kukicha lakini hatuoni haya ya kukamatwa ksma ilivyo kwa sheikh Ponda! Huyu ndiye sheikh pekee aliyebaki upande wa ukweli #free_sheikh_Ponda
Huyu bwana ajifunzi kusoma alama za nyakati
shame on u! shog@ ni baba yako, acha kumkosea heshima kiongozi wa kiimani, mzazi na mume wa mtu.Wewe pia ni shabiki wa huyu shoga? Atangulizwe tu maana anawashwa fa.la huyu
Sheikh Ponda ni muhimu kuliko vyama vyote vya siasa nchini.Tangu waombewe kwa Mfalme wa Morocco kujengewa ule Msikiti Mkubwa, naona Bakwata ndiyo wamepoteza kabisa muelekeo! Hivyo watu kama akina Sheikh Issa Ponda, ni muhimu kuwemo kwenye Jamii yetu ya sasa.
awamu ya 5 inaogopa sana watu makini yaani!Katibu mkuu wa shura ya maimamu Tanzania Sheikh Ponda Issa ponda akamatwa na polisi hivi punde
Amekamatwa akiwa anatoka Msikitini sala ya Alasiri saa kumi na Moja maeneo ya Ilala. Alivyotoka Msikitini anataka kuingia kwenye gari yake ndo Wakamkamata.
Kwa sasa wapo wanasheria wanafuatilia dhamana yake japo inadaiwa wanamhamisha hamisha.
Bado hajajulikana kapelekwa kituo gani.
=======
UPDATES :
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP- Lazaro Mambosasa, ameiambia JamiiForums kwamba ni kweli Polisi wanaye Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda.
"Tunaye sisi Polisi, tumemkamata kwa Mahojiano ya Uchochezi walioutoa kwenye kitu walichokiita Waraka. Tunamhoji kutokana na ule Waraka, Yeye kakubali kwamba ni wake na Taasisi yake lakini Viongozi wote wa Taasisi wameukana kupitia Vituo mbalimbali vya radio na TV. Hivyo tunazidi kumshikilia. Amesema Mambosasa.
Hivi Karibuni, Shura ya Maimamu Tanzania, ilitoa Waraka kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020
Zaidi, Soma;
Uchaguzi 2020 - Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania
CUF: Tunatoa pongezi za dhati kwa Waraka uliotolewa na Shura ya Maimamu. Unachora taswira halisi ya hali ilivyo nchini tangu uhuru
Shura ya maimamu yakana kutoa waraka wa uchaguzi, yampongeza Rais Magufuli kwa kuitokomeza Corona
Yale yale ya Tito Magoti sasa hivi ananyea ndoo wao kimya kama vile hakuna kilichotokea.Ninachowapendea tu Watanzania ni kwamba ukiwa Uraiani na Mwanaharakati watakusapoti na kukupa Bichwa, ila Ukikamatwa wanakusahau pia.
Waislamu wa wapi?
Shura ya maimamu wameukana waraka!
Kumbe unajua kuzungusha makalio?Kwani wewe umeacha kuzungusha makalio?