TANZIA Katibu Mkuu wa TABOA, Enea Mrutu afariki dunia baada ya kubanwa na kifua ghafla wilayani Mwanga

TANZIA Katibu Mkuu wa TABOA, Enea Mrutu afariki dunia baada ya kubanwa na kifua ghafla wilayani Mwanga

Hii changamoto ya kupumua inatumaliza ndugu zangu tuongeze umakini kujilinda sisi na tuwapendao.

Jaribu kuvuta picha kasi ya haya maradhi mapya ya changamoto ya kupumua ikiendelea hivi mpaka August na hizi dharau zetu za kuchapa kazi tutakuwa wageni wa nani?
 
Mmliki wa mabasi ya abiria (Kirumo charo) na diwani kata ya mwanga magharibi mkoani kilimanjaro bwana Eneo Mrutu afariki dunia.
IMG-20200508-WA0013.jpg

 
Mmiliki wa mabasi ya Kirumo Charo na Katibu Mkuu wa chama cha wamiliki wa mabasi TABOA, Ndg. Enea Mrutu ambaye pia ni diwani wa kata ya Shighatini CCM wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, amefariki dunia baada ya kubanwa kifua ghafla Mwirange disp. Mwanga!

Pia soma
> Chama cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) chapinga Kanuni za Latra kwa madai kuwa zinawakandamiza - JamiiForums

> Diwani wa Shighati(CCM) Wilayani Mwanga, Enea Mrutu awekwa chini ya ulinzi baada ya kudakwa akitoa rushwa - JamiiForums

Marehemu Enea Mrutu amezikwa leo leo kijiji kwao Ndamwe-shighatini na viongozi wa kanisa la Lutherani pamoja na waumini wachache.
Poleni wafiwa.
 

Attachments

  • IMG-20200508-WA0034.jpg
    IMG-20200508-WA0034.jpg
    87.8 KB · Views: 2
Duuuh! Hamkani si shwari tena! Naona lile janga limechachamaa vilivyo! Who is next? Mungu ndiye anayejua. RIP Mwenyekiti TABOA.
Who is next? It is you for certain. If not why shouldn't you be the next victim?
 
Back
Top Bottom