Tuttie
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,263
- 1,304
😅😅😅sky acha hahah ila kweliHuyu kirusi wa corona atakuwa wa kike, mbona anapenda sana wanaume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅sky acha hahah ila kweliHuyu kirusi wa corona atakuwa wa kike, mbona anapenda sana wanaume?
TABOA ,Mkuu ina maana hujasoma kichwa cha habari?Mwenyekiti wa nini?
Duh!! anaitwa nani?Kaka aliyefia Colessium... Dada
Alipotekewa bilionea moAcha kabisa. Mwingine asubuhi hii kadondoka akiwa gym hapo Osterbay
View attachment 1443449
Ona sasa tunavyokufa kwa kunigwa kooni!Funga apo geto kwako
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Marehemu Enea Mrutu amezikwa leo leo kijiji kwao Ndamwe-shighatini na viongozi wa kanisa la Lutherani pamoja na waumini wachache.Mmiliki wa mabasi ya Kirumo Charo na Katibu Mkuu wa chama cha wamiliki wa mabasi TABOA, Ndg. Enea Mrutu ambaye pia ni diwani wa kata ya Shighatini CCM wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, amefariki dunia baada ya kubanwa kifua ghafla Mwirange disp. Mwanga!
Pia soma
> Chama cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) chapinga Kanuni za Latra kwa madai kuwa zinawakandamiza - JamiiForums
> Diwani wa Shighati(CCM) Wilayani Mwanga, Enea Mrutu awekwa chini ya ulinzi baada ya kudakwa akitoa rushwa - JamiiForums
Ni katibu.sio mwenyekitDuuuh! Hamkani si shwari tena! Naona lile janga limechachamaa vilivyo! Who is next? Mungu ndiye anayejua. RIP Mwenyekiti TABOA.
Who is next? It is you for certain. If not why shouldn't you be the next victim?Duuuh! Hamkani si shwari tena! Naona lile janga limechachamaa vilivyo! Who is next? Mungu ndiye anayejua. RIP Mwenyekiti TABOA.
Mipaka ya USA yenye uzio, ndege za doria,satellite, nk au hii ya hapa Namanga, Rukunyu, nk?Mipaka ingefungwa tuliposema pengine hii mambo isingetokea