Katibu Mkuu wa UN, Ban Ki MOON amshauri JK kuhudhuria Mkutano wa Kampala

Katibu Mkuu wa UN, Ban Ki MOON amshauri JK kuhudhuria Mkutano wa Kampala

Aende lakn asijidai bingwa kwa kushauri asije akasabibisha mengne mapya
 
Kampala sio sehemu muafaka ya kujadili mambo ya Eastern Congo maana Mu7 nae anatuhuma zake kwa kushirikiana na PK, bora ungefanyika hata Burundi au DRC kwenyewe.
 
Kwa akili ya Mtuts yule hawezi kutia mguu, lazi akwepe kukutana na Rais Kikwete.
 
Kagame si tu anatakiwa kuomba msamaha lakini pia anastahili kuadhibiwa

Kuna Mmbwa wa nilimpa jina la Kagame kutokana na ukorofi wake na hata umchape kiasi gani hataki kuacha ukorofi nategemea kumdunga sindano ya simu ili afe tu basi
 
JK mwambie Kagame live kuwa Kagame ndo alisababisha genocide Rwanda kwa kumuua Rais Habyarimana mwaka 1994. JK mwambie Kagame aache unafiki!
Wana JF,

Habari nilizopata hivi punde kutoka vyanzo vya kuaminika ni kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon kupitia kwa Mshauri wa UN katika ukanda wa Maziwa Makuu, Bi Mary ROBINSON, amemshauri Rais wa Tanzania JAKAYA KIKWETE kuhudhuria mkutano wa ICGLR unaofanyika Jijini Kampala, Uganda. Sababu zilizotolewa ni kama ifuatavyo

  1. Mkutano huo umepewa baraka zote za UN na kwamba umoja huo umetuma mwakilishi kuhudhuria kikao hicho ambaye ni Bi Mary Robinson
  2. Mkutano huo utajikita katika kujadili jambo moja tu ambalo ni hali ya amani mashariki mwa DRC na hautahusisha mazungumzo baina ya JK na PK kutokana na kupishana kauli katika siku za hivi karibuni.
  3. Kutokana na Tanzania kupeleka kikosi kupambana na waasi wa M23, Tanzania itapewa nafasi ya kuelezea mafanikio yaliyopatikana kutokana na operesheni hiyo na kwamba nchi zote za maziwa makuu zitatakiwa kuunga mkono juhudi za Tanzania
  4. Nchi washiriki watapewa makavu na Bi Mary Robinson kutokana na nchi hizo kuwa na tabia ya kuchochea migogoro DRC. Hapa walengwa wakubwa ni Rwanda na Uganda. itakumbukwa kuwa hivi karibuni Katibu Mkuu wa UN Ban Ki Moon amemshutumu Rais wa Rwanda PK kutokana na kusaidia waasi wa M23. Pia Afrika ya Kati inashutumiwa kusaidia waasi wa LRA.
  5. Usalama wa viongozi wote watakaohudhuria kikao hicho umeimarishwa na utakuwa ni jukumu la UN
  6. Tanzania kama nchi mama ya Maziwa Makuu, ni vema kuhudhuria mkutano huo kwa vile usalama wa nchi jirani unapozorota, ni Tanzania ndiyo inayoathirika hasa kupitia wimbi la wakimbizi, wahamiaji haramu na kuzagaa kwa silaha za kivita.

Kutokana na Mazungumzo hayo ambayo yamefanyika kwa njia ya simu baina ya Rais JK na Bi Mary Robinson, Rais JK amelazimika kusitisha ziara yake Mkoani Mwanza na kupanda ndege kuelekea Kampala Uganda jana jioni (tarehe 4/5/2013). Hivi tunavyozungumza Rais wetu amewasili salama na anahudhuria mkutano huo. Aidha, inaelezwa kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame mpaka leo asubuhi alikuwa hajathibitisha kuhudhuria na huenda asihudhurie kikao hicho ili kukwepa kibano cha Mwanamama Mary Robinson
 
Baba yetu wa Taifa. Jakaya! Kama ni kweli naomba uhudhurie!
 
JK mwambie Kagame live kuwa Kagame ndo alisababisha genocide Rwanda kwa kumuua Rais Habyarimana mwaka 1994. JK mwambie Kagame aache unafiki!
Ayaa-hiyo ni siri sana usirudie kuandika humu hivi!
 
Wana JF,

Habari nilizopata hivi punde kutoka vyanzo vya kuaminika ni kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon kupitia kwa Mshauri wa UN katika ukanda wa Maziwa Makuu, Bi Mary ROBINSON, amemshauri Rais wa Tanzania JAKAYA KIKWETE kuhudhuria mkutano wa ICGLR unaofanyika Jijini Kampala, Uganda. Sababu zilizotolewa ni kama ifuatavyo

  1. Mkutano huo umepewa baraka zote za UN na kwamba umoja huo umetuma mwakilishi kuhudhuria kikao hicho ambaye ni Bi Mary Robinson
  2. Mkutano huo utajikita katika kujadili jambo moja tu ambalo ni hali ya amani mashariki mwa DRC na hautahusisha mazungumzo baina ya JK na PK kutokana na kupishana kauli katika siku za hivi karibuni.
  3. Kutokana na Tanzania kupeleka kikosi kupambana na waasi wa M23, Tanzania itapewa nafasi ya kuelezea mafanikio yaliyopatikana kutokana na operesheni hiyo na kwamba nchi zote za maziwa makuu zitatakiwa kuunga mkono juhudi za Tanzania
  4. Nchi washiriki watapewa makavu na Bi Mary Robinson kutokana na nchi hizo kuwa na tabia ya kuchochea migogoro DRC. Hapa walengwa wakubwa ni Rwanda na Uganda. itakumbukwa kuwa hivi karibuni Katibu Mkuu wa UN Ban Ki Moon amemshutumu Rais wa Rwanda PK kutokana na kusaidia waasi wa M23. Pia Afrika ya Kati inashutumiwa kusaidia waasi wa LRA.
  5. Usalama wa viongozi wote watakaohudhuria kikao hicho umeimarishwa na utakuwa ni jukumu la UN
  6. Tanzania kama nchi mama ya Maziwa Makuu, ni vema kuhudhuria mkutano huo kwa vile usalama wa nchi jirani unapozorota, ni Tanzania ndiyo inayoathirika hasa kupitia wimbi la wakimbizi, wahamiaji haramu na kuzagaa kwa silaha za kivita.

Kutokana na Mazungumzo hayo ambayo yamefanyika kwa njia ya simu baina ya Rais JK na Bi Mary Robinson, Rais JK amelazimika kusitisha ziara yake Mkoani Mwanza na kupanda ndege kuelekea Kampala Uganda jana jioni (tarehe 4/5/2013). Hivi tunavyozungumza Rais wetu amewasili salama na anahudhuria mkutano huo. Aidha, inaelezwa kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame mpaka leo asubuhi alikuwa hajathibitisha kuhudhuria na huenda asihudhurie kikao hicho ili kukwepa kibano cha Mwanamama Mary Robinson


Hapo kwenye nyekundu nadhani ulimi umeteleza kidogo maana mwezi wa tano tumeuacha siku nyingi sana.
 
Kuna Mmbwa wa nilimpa jina la Kagame kutokana na ukorofi wake na hata umchape kiasi gani hataki kuacha ukorofi nategemea kumdunga sindano ya simu ili afe tu basi
Siyo lazima kutumia lugha za ovyo hata kama unashabikia vita.Naamini wengi mnaoshabikia vita yoyote hivi sasa ni mazao na wafuasi wa mafisadi ili waweze kutoa logisitcis katika majeshi kama viel vifaa, vyakula, mafuta na silaha.Kwa uchumi na taifa dhaifu kiuchumi kama Tanzania vita yoyote ni miradi ya mafisadi na wafanyibiashara ya kulevya.
 
acheni masiala nyie, fast jet ya bonge haiwezisusia kwenda kampala wakati inapenda safari ka nn!
 
Siyo lazima kutumia lugha za ovyo hata kama unashabikia vita.Naamini wengi mnaoshabikia vita yoyote hivi sasa ni mazao na wafuasi wa mafisadi ili waweze kutoa logisitcis katika majeshi kama viel vifaa, vyakula, mafuta na silaha.Kwa uchumi na taifa dhaifu kiuchumi kama Tanzania vita yoyote ni miradi ya mafisadi na wafanyibiashara ya kulevya.

No doubt wewe ni mtusi unaejiita Muhangaza iko siku kturudi kwenu tu .
 
JK anavyopenda safari nisingetegemea kukosa hii trip.

Hapa siyo suala la kupenda safari. Hapa amejitambua na kupuuza ushauri wa wale wasiokuwa na busara waliokuwa wanamshauri asiende ili hatimaye aonekane anamwogopa Kagame. Ndiyo maana sikusita kuwaona washauri wa namna hiyo washauri uchwara. Hapa ameonesha ukomavu na tena he is a big brother kwa Kagame. Big up prezidaa!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kuna Mmbwa wa nilimpa jina la Kagame kutokana na ukorofi wake na hata umchape kiasi gani hataki kuacha ukorofi nategemea kumdunga sindano ya simu ili afe tu basi

Kauli hii haistahili kutoka kwa mtu anayejiita mstaarabu. Umevuka mstari wa ustaarabu ndugu yangu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
APA NDO NAONA UMUHIMU WA NYERERE ANGESEMA TUU UWEZO NIA NA SABABU YA KUMPIGA PK TUNAO MAAN ANADESTABILIZE MAKUSUDI DRC uku sisi tukiambulia wakimbizi na fujo za apa na pale!
 
yeah aisee tunamwombe hawa jamaa wasije kum kolimba!!! ahahah
 
Published on 5 Sep 2013 President Kagame jets into the country ahead of a crisis meeting as fighting in the Democratic Republic of Congo threatens to suck in countries in the Great Lakes region.
Tanzania's Jakaya Kikwete is also expected at the talks which are under the auspices of the International Conference on the Great Lakes region (ICGLR). The meeting comes at the peak of saber-rattling after Rwanda said it would not accept any more provocation from the DRC after shells hit inside its territory.
Rwanda's Kagame jets in for crucial regional talks: Source NTVUGANDA youtube
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom