Katibu Mkuu wa UN, Ban Ki MOON amshauri JK kuhudhuria Mkutano wa Kampala

Katibu Mkuu wa UN, Ban Ki MOON amshauri JK kuhudhuria Mkutano wa Kampala

yenu bongo yamewashnda munakomalia Kagame kagame mumewenu nin tz yenyewe haieleweki wala nini
 
Udikiteta wa kagame,ana fanya kiini macho,afrika mashariki haitakuwa salama, kama kagame bado madarakani.maana ana mikakati yakutengeneza tutsi empire,na lengo lao na m7 ni mmoja wao awe rais washirikisho la east africa!nivile 2 lilichelewa na tz,tuingia tuone maana pk,nchini kwake hakuna demokrasia ukokosoa serikali yake ww unakuwa genocide,ideology naufunguliwa mashitaka ya hukum ya maisha huyu ndo kagame,anaye sema iwill hit you in light place.
 
Lusewa Tunashukuru sana kwa UN kutambua mchango wa Tanzania katika kusaka amani nchini DRC na kutambua kuwa KAAME ni nyoka. Kila la heri JK.
kaka UN hawanaga rafiki,huu ni mchezo tu.tulia utaona, hapo ndo tunachonganishwa vizuri sana ili tumalizane
 
Last edited by a moderator:
Wazungu nomaaaa, huu nadhani ni mpango wao wa muda mrefu ili tuwe ngao ya kumpiga Kagame. Nadhani tusikae upande wa UN sana tukatumiwa kama ngao yao
 
kuongeza batalian usifikirie kama kuongezewa saani ya ugali... mburulawee.. angalia kwanza kiloba chako cha unga jinsi unavopima kibaba ili usonge ugali ule na wanao basi ujue kilo za kiloba zinapungua. na ujue kula ni lazima si khiari hivyo basi.. kama kula.. na silaha pia zinakwisha tunapaswa tukamue kifuko chetu tununue tena misilaha mingine hapo sasa ujue njaa lazima itapiga hodi.
TAFAKARI:wave: CHUKUA HATUA BORA
 
hivi tangu pk apeleke jeshi lake mpakani mbona kimya mbona hajavuka mpaka!!!!is he smelling a rat!!ingekuwa munusco haiko drc angekuwa goma siku nyingi!!!
 
Wana JF,

Habari nilizopata hivi punde kutoka vyanzo vya kuaminika ni kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon kupitia kwa Mshauri wa UN katika ukanda wa Maziwa Makuu, Bi Mary ROBINSON, amemshauri Rais wa Tanzania JAKAYA KIKWETE kuhudhuria mkutano wa ICGLR unaofanyika Jijini Kampala, Uganda. Sababu zilizotolewa ni kama ifuatavyo

  1. Mkutano huo umepewa baraka zote za UN na kwamba umoja huo umetuma mwakilishi kuhudhuria kikao hicho ambaye ni Bi Mary Robinson
  2. Mkutano huo utajikita katika kujadili jambo moja tu ambalo ni hali ya amani mashariki mwa DRC na hautahusisha mazungumzo baina ya JK na PK kutokana na kupishana kauli katika siku za hivi karibuni.
  3. Kutokana na Tanzania kupeleka kikosi kupambana na waasi wa M23, Tanzania itapewa nafasi ya kuelezea mafanikio yaliyopatikana kutokana na operesheni hiyo na kwamba nchi zote za maziwa makuu zitatakiwa kuunga mkono juhudi za Tanzania
  4. Nchi washiriki watapewa makavu na Bi Mary Robinson kutokana na nchi hizo kuwa na tabia ya kuchochea migogoro DRC. Hapa walengwa wakubwa ni Rwanda na Uganda. itakumbukwa kuwa hivi karibuni Katibu Mkuu wa UN Ban Ki Moon amemshutumu Rais wa Rwanda PK kutokana na kusaidia waasi wa M23. Pia Afrika ya Kati inashutumiwa kusaidia waasi wa LRA.
  5. Usalama wa viongozi wote watakaohudhuria kikao hicho umeimarishwa na utakuwa ni jukumu la UN
  6. Tanzania kama nchi mama ya Maziwa Makuu, ni vema kuhudhuria mkutano huo kwa vile usalama wa nchi jirani unapozorota, ni Tanzania ndiyo inayoathirika hasa kupitia wimbi la wakimbizi, wahamiaji haramu na kuzagaa kwa silaha za kivita.

Kutokana na Mazungumzo hayo ambayo yamefanyika kwa njia ya simu baina ya Rais JK na Bi Mary Robinson, Rais JK amelazimika kusitisha ziara yake Mkoani Mwanza na kupanda ndege kuelekea Kampala Uganda jana jioni (tarehe 4/5/2013). Hivi tunavyozungumza Rais wetu amewasili salama na anahudhuria mkutano huo. Aidha, inaelezwa kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame mpaka leo asubuhi alikuwa hajathibitisha kuhudhuria na huenda asihudhurie kikao hicho ili kukwepa kibano cha Mwanamama Mary Robinson
[/QUOTE

aisee kweli hii imekaa poa...ila angalia isijekuwa mahaba yako na chuki mnayozidi kupandikizana na wajinga wenzako...

bbc wameripoti marais JK na PK wamefika mapema kabla ya marais wengine kukutana na mwenyeji wao M7...sasa hili la kagame kutofika limetoka wapi? duh mi simo
 
Rais wa Super Power kama Tanzania hawezi kukosa mkutano huu wa kuchambwa kwa Wendawazimu
 
Ili kuwepo na Amani DRC, nawaomba UN wampe Ruhusa Rais Kikwete aongeze Battalioni kama mbili au 3 ili kutokomeza waasi wa M23 nikiwa na maana ya kwamba JWTZ lifike mpaka Kigali. Lazima tung'oe chanzo na si matawi, Shina na Mzao wa M23 ni kagame. Na huyu Kagame mbele JWTZ hafurukuti.
Hakuna haja. Kagame akishaondolewa drc mabadiliko hasi ya hali ya uchumi yatawasukuma wanyaruanda kumuondoa madarakani.
 
Back
Top Bottom