Katibu Mkuu wa UN, Ban Ki MOON amshauri JK kuhudhuria Mkutano wa Kampala

yenu bongo yamewashnda munakomalia Kagame kagame mumewenu nin tz yenyewe haieleweki wala nini
 
Udikiteta wa kagame,ana fanya kiini macho,afrika mashariki haitakuwa salama, kama kagame bado madarakani.maana ana mikakati yakutengeneza tutsi empire,na lengo lao na m7 ni mmoja wao awe rais washirikisho la east africa!nivile 2 lilichelewa na tz,tuingia tuone maana pk,nchini kwake hakuna demokrasia ukokosoa serikali yake ww unakuwa genocide,ideology naufunguliwa mashitaka ya hukum ya maisha huyu ndo kagame,anaye sema iwill hit you in light place.
 
Lusewa Tunashukuru sana kwa UN kutambua mchango wa Tanzania katika kusaka amani nchini DRC na kutambua kuwa KAAME ni nyoka. Kila la heri JK.
kaka UN hawanaga rafiki,huu ni mchezo tu.tulia utaona, hapo ndo tunachonganishwa vizuri sana ili tumalizane
 
Last edited by a moderator:
Wazungu nomaaaa, huu nadhani ni mpango wao wa muda mrefu ili tuwe ngao ya kumpiga Kagame. Nadhani tusikae upande wa UN sana tukatumiwa kama ngao yao
 
kuongeza batalian usifikirie kama kuongezewa saani ya ugali... mburulawee.. angalia kwanza kiloba chako cha unga jinsi unavopima kibaba ili usonge ugali ule na wanao basi ujue kilo za kiloba zinapungua. na ujue kula ni lazima si khiari hivyo basi.. kama kula.. na silaha pia zinakwisha tunapaswa tukamue kifuko chetu tununue tena misilaha mingine hapo sasa ujue njaa lazima itapiga hodi.
TAFAKARI:wave: CHUKUA HATUA BORA
 
hivi tangu pk apeleke jeshi lake mpakani mbona kimya mbona hajavuka mpaka!!!!is he smelling a rat!!ingekuwa munusco haiko drc angekuwa goma siku nyingi!!!
 
 
Rais wa Super Power kama Tanzania hawezi kukosa mkutano huu wa kuchambwa kwa Wendawazimu
 
Hakuna haja. Kagame akishaondolewa drc mabadiliko hasi ya hali ya uchumi yatawasukuma wanyaruanda kumuondoa madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…