Nazungumzia Murongo. Labda wewe ulikuwa unafikiri ni Magesa Mulongo ambaye ametajwa kwenye post hii nyingine Kanusho kuhusu Kifo Cha Magesa Mulongo
Unadhani ukiita dogo ndio nakua dogo. Ungeniona ungetimua mbio labda.
Wale ni sawa na mercenaries
Na kuna wengine huwa wametumiwa na chama kupiga deal kufanikisha sera ya siri ya uhujumu uchumi wa nchi yetu ya CCM then Magufuli ana act kuwatumbua ili kwanza kuficha uovu wa chama chake na pili kuwagribu wanyonge kwamba ana pambana na rushwa na ufisadi.then upepo ukipoa anawarudisha kwenye ulaji.Kuna viti vingi sana huwa hatuvifahamu, ndio maana hawa wateule wakirejeshwa kwenye nafasi nyingine huwa tunashangaa sana na kupiga kelele. Wengine wanatumbuliwa kwa issue za udaku zisizo na ukweli. Si tujifunze hata kutoka kwa akina Simbachamwene. Sio wote wanaotumbuliwa wanakuwa na makosa tunayoyasoma kwenye mitandao.
Mtumishi wa rais aliyepo madarakani
Mtumishi binafsi au wa serikali kwa ajili ya Rais?Mtumishi wa rais aliyepo madarakani
Mtumishi maalum analipwa kwa pesa ya umma
Najua nikianza tu kukuunga mkono humu hapo hapo utaniona kama umri wa babu yako. Tatizo sio point za yoyote, issue mnapenda wote tuwe humu tunaimba nyimbo moja za kupinga na kulalamika.Point zako ndio zinaonyesha umri wako.
Na fadhila yenyewe ni Musiba kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.Lugola hata kutetea ubunge wake ktk jimbo lake mwaka huu upo shakani. Naona kwa mbali Musiba akipiga jalamba ili kulipwa fadhila.
Sent using Jamii Forums mobile app