Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
acha kumhusisha Mungu na visasi vya kibinadamu...Mungu anayewaza kama wewe hayupo na hatakuwepo! Ndiyo maana mvua hunyesha kwenye mashamba yote hata lile la mchawi, muuaji, nk!Hatimaye kupiga Vita makanisa ya walokole kumepata jibu .Nilimuonya Lugora humu bado Mjema