Unakumbuka alivyo kuwa anakata mauno siku ile pale chato?Lugola pamoja na kumsifia Rais leo kafukuzwa hadharani.Ningekuwa Lugola ningeaga nakwenda kuko joa na nasepa mbele kwa mbele.
Kwani yeye nani alipitisha ununuzi wa ndege?? /na yeye aachie ngazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hujawahi kuwa na wadhifa hata wa ujumbe au mwana kamati kwenye taasisi yenu ndio maana unaandika ujinga.Lugola pamoja na kumsifia Rais leo kafukuzwa hadharani.Ningekuwa Lugola ningeaga nakwenda kuko joa na nasepa mbele kwa mbele.
Acha hiyo,leo alivyomsifia Rais acha kabisa.
Huyu katumbuliwa aliejiuzulu ni katibu mkuu wa wizara lugora katumbuliwa pia andengenye katumbuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kangi ni mpigaji tuAu alishindwa kumpata kigogo na zile siku ziliyoyoma sana
Atamtafuta yule aliyemkatia maunoDaah! Maskini mzee lugola sasa angekuwa na mke angemliwaza angalau
Hapo safi kabisa ili atembee vizuri na ilani ya chama cha mapinduzi na azidi kuitangaza ilani vizuri
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi zile mbwembwe za Kangi Lugola zimeishia wapi?
Siku hizi hasikiki sana sana aisee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliandika humu mara kadhaa, ukiona mtu anasifia sana waliomteua ujue kuna maovu mengi nyuma yake anajaribu kuyaficha...Wakuu,
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Ukoaji, Thobias Andengenye Wametumbuliwa muda huu. Huku Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Meja Jenerali Jacob Kingu akiandika Barua ya Kujiuzulu
Stay tuned