Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

Rais wa jmt john pombe magufuli ametengua uteuzi wa waziri wa mambo ya ndani mh kangi alphaxard lugola, katibu mkuu wa wizara hiyo mh kingu pamoja na maafisa kadhaaa wa wizara hiyo kwa kile kinachosemekana ni kuingia mkataba wa kukopa kiasi cha shi trilion 1.3 nje ya nchi ili kujenga majengo ya magereza kinyume na taratibu ambapo ni wizara ya fedha pekee ndiyo yenye mamlaka ya kukopa pesa nje ya nchi kwa kupitia vikao maalumu vya bunge.
 
Kutoka maktaba:

Kangi Lugola - "Nikifa Nizikwe na ilani ya CCM"



Source: Ngassa TV
 
Hivi kwanini MASAUNI haaminiwi kupewa hiyo wizara kama waziri kamili ?
Kama hatoshi ni kwanini haondolewi kwenye unaibu maana huyu ni bosi wake wa tatu au wa nne kuondolewa lakini yeye yupo tu.
Kwenye masakata yote hayo yeye hajawahi kuhusika tu ?
Kama hajawahi kuhusika hicho sio kigezo cha kupewa uwaziri kamili ?
Nawaza tu.
 
Back
Top Bottom