Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,194
- 13,426
Ufunuo 14:13
13 Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.