Hivi,japo wengine si wabobezi wa siasa,hiyo si dhalau? Inawezekana Makonda kumpa maagizo Kassim?Hivi kazi ya Waziri mkuu au Rais ni ipi?. Maana mawaziri wote wanapokea maagizo kutoka kwa Katibu Mwenezi, akiwemo Waziri Mkuu aliyepewa miezi SITA na Makonda.