Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Bwabwa la ufipa naona unajipromoti
Sio najipromofi najua njaa imewazidia. Labda msubiri fedha za corona zije , wakubwa wenu wazimege ndio mpata posho . Sasa wakati mnaendelea kusubiri ukiona njaa imekuzidia unakuja kugongwa unapewa hela ya kula wiki moja. Yaani 49,000. Kila siku 7000. Nyie mabwabwa mtaliwa kweli kweli safari hii.
 
Sikuwahi kuamini kwamba kuna watu kama hao, nilidhani ni madongo wanayopewa na wapinzani wao! Kilangila
 
Hivi kumbe jina la Lumumba buku saba hii ndiyo sababu yake. Aiseee sikuwahi kujua...
 
Umewasahau wengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee Polepole, Promise is the Promise...wape haki zao!! Kwanza buku saba kwa siku mtaani haitoshi!!
 
Aaaaaahaaaa kumbeeee[emoji40]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…