Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
kiongozi wangu Humfrey pole kwa yaliokukuta na nisamehee sana, jana nilipopata taarifa za kile ulichoongea kutokukubaliana na chama kuhusu kujitoa kwenye haya mauaji ya chaguzi zinazo pangwa IKULU, nilichukizwa sana na nikatumia maneno makali kidogo humu JF.
Ni samehe KAMANDA.
Nakipenda chama changu CHADEMA mno.
Anaetaka kuunga juhudi ”ruksa” aende ila asitumike kutuvuruga. 💪🏾💪🏾💪🏾✌🏾✌🏾✌🏾
Ukweli ni kwamba kwa pamoja tumeifikisha mwisho CCM. Na kwa pamoja tutaifuta CCM ya Magufuli ndani ya mipaka ya Tanganyika na Zanzibar.
CCM ya Magufuli imekua genge la kigaidi linapanga UGAIDI IKULU. Ni lazima tuifute kabisa kabisa.
Ni samehe KAMANDA.
Nakipenda chama changu CHADEMA mno.
Anaetaka kuunga juhudi ”ruksa” aende ila asitumike kutuvuruga. 💪🏾💪🏾💪🏾✌🏾✌🏾✌🏾
Ukweli ni kwamba kwa pamoja tumeifikisha mwisho CCM. Na kwa pamoja tutaifuta CCM ya Magufuli ndani ya mipaka ya Tanganyika na Zanzibar.
CCM ya Magufuli imekua genge la kigaidi linapanga UGAIDI IKULU. Ni lazima tuifute kabisa kabisa.