TANZIA Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari

Mijooloni kuna damu zimemwagika sana watu wa maombi wapite hapo kupaweka sawa,damu zilizomwagika zinadai nyingine zaidi
 
Kwa hiyo mkuu unashauri hayo magari LC 300 series yaendelee kuagizwa kwa watu kama Katibu Tawala, Meya, Mkuu wa Mkoa, Wakuu wa wilaya,Mkurugenzi wa Halmashauri, Wakurugenzi wa mashirika, RPC, OCD nk ...

Huoni kwa vyeo vyao wanahitaji gari za kawaida ? Na speed yote ya nini ?
Tena sehemu yenyewe ni karibu na KIA hakuna kona wala nini (open space)

Hauoni hizo gari ni gharama sana kulingana na uchumi wa nchi ?

Nina uhakika kuna gari za bei nafuu na nzuri kutoka Japan ( Land cruiser) na comfortable kuliko kushindana kununua latest car ambayo ukila mzinga m 450 imepotea
 
Gari za bei nafuu ni zipi? Kwa serikali ya kifisadi kama hii tuliyonayo hamna mtu atataka aendeshe gari inferior sababu pesa za kununulia zipo.

Imekuwa kama norm toka kwa serikali ya awamu ya nne kununua latest Japanese vehicles especially hizo Utalitarian kama LandCruisers kwa viongozi na waandamizi wao. Awamu zilizofuata zote wameiga tu.

Jakaya aliingiza 100 series. Magufuli akaingiza 200 series. Sahizi samia ameingiza 300 series Landcruisers alongside Prado counterparts kama J120 na J150 series na soon mtashuhudia uingizwaji wa Prado box new model za mwaka huu 2024 zinazotambulika kama J250.
 
Yaagizwe tuu pesa ipo
 
Gari lililopata ajali ni la RC Kilimanjaro,ila lilikuwa limembeba RAS Kilimanjaro.

Kwanini RC Kilimanjaro hakuwa kwenye gari lake?

Maswalinni mengi kuliko majibu!
RC hakuwa vizuri kiafya ndio akamwagiza RAS amuwakilishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…