Gari iko vizuri kwa usalama hio, ni vile viongozi wetu hawatakagi kukaa siti za nyuma ila kwa hali ya gari hapo angekaa nyuma angekuwa kapata mstuko na mikwaruzo tu ila angepona.Mbona airbag kama vile zipo? Na zilifumuka hadi airbag za nyuma kama sikosei
Mijooloni kuna damu zimemwagika sana watu wa maombi wapite hapo kupaweka sawa,damu zilizomwagika zinadai nyingine zaidiTaarifa za awali kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Tixon Nzunda pamoja na dereva wake wamefariki dunia kwa ajali iliyotokea eneo la Mjohoroni mkoani humo.
Bado mamlaka husika hazijatoa taarifa juu ya ajali hiyo.
======
Dkt. Tixon Tuyangine Nzunda alikuwa katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, nafasi aliyoteuliwa na Rais Samia Suluhu na kuapishwa 19 Machi, 2023.
Nzunda alizaliwa January 29, 1968 na ameacha mke na watoto wanne. Aliajiriwa na Serikali mwaka 1992 kama afisa msaidizi wa elimu daraja la tatu na tangu hapo ameshika nafasi kadhaa ikiwemo katibu mkuu msaidizi utumishi, katibu tawala mkoa wa Rukwa na naibu katibu mkuu Serikali za mitaa.
Picha kutoka Maktaba.
Kwa hiyo mkuu unashauri hayo magari LC 300 series yaendelee kuagizwa kwa watu kama Katibu Tawala, Meya, Mkuu wa Mkoa, Wakuu wa wilaya,Mkurugenzi wa Halmashauri, Wakurugenzi wa mashirika, RPC, OCD nk ...Kwahio unataka kufananisha safety features za usafiri wa mkonge 1HZ uliobuniwa 1976 dhidi ya gari yenye teknolojia ya 2024 kiusalama?
Kwa mbung'a iliyotokea ingekua ni cruiser mkonge hata paa la gari lisingeonekana 😂. Hio gari ni imara hakika na eneo ambalo viongozi wanatakiwa kukaa ni siti za nyuma tatizo wabongo wanapenda kuvunja vishoka. Angekaa siti ya nyuma with seatbelt fastened ni hakika angetoka salama tu.
Msweden alituliza kichwa sana..hata hivyo siku hizi mjapan hakuna kitu,gari ni karatasi..Kwenye mninga wa msweden hatoki mtu yani, humo hata wangekuwa kwenye G Wagon ilikuwa lazma waishe tu maana chuma inaonekana ilikuwa above 160KPH
Gari za bei nafuu ni zipi? Kwa serikali ya kifisadi kama hii tuliyonayo hamna mtu atataka aendeshe gari inferior sababu pesa za kununulia zipo.Kwa hiyo mkuu unashauri hayo magari LC 300 series yaendelee kuagizwa kwa watu kama Katibu Tawala, Meya, Mkuu wa Mkoa, Wakuu wa wilaya,Mkurugenzi wa Halmashauri, Wakurugenzi wa mashirika, RPC, OCD nk ...
Huoni kwa vyeo vyao wanahitaji gari za kawaida ? Na speed yote ya nini ?
Tena sehemu yenyewe ni karibu na KIA hakuna kona wala nini (open space)
Hauoni hizo gari ni gharama sana kulingana na uchumi wa nchi ?
Nina uhakika kuna gari za bei nafuu na nzuri kutoka Japan ( Land cruiser) na comfortable kuliko kushindana kununua latest car ambayo ukila mzinga m 450 imepotea
Yaagizwe tuu pesa ipoKwa hiyo mkuu unashauri hayo magari LC 300 series yaendelee kuagizwa kwa watu kama Katibu Tawala, Meya, Mkuu wa Mkoa, Wakuu wa wilaya,Mkurugenzi wa Halmashauri, Wakurugenzi wa mashirika, RPC, OCD nk ...
Huoni kwa vyeo vyao wanahitaji gari za kawaida ? Na speed yote ya nini ?
Tena sehemu yenyewe ni karibu na KIA hakuna kona wala nini (open space)
Hauoni hizo gari ni gharama sana kulingana na uchumi wa nchi ?
Nina uhakika kuna gari za bei nafuu na nzuri kutoka Japan ( Land cruiser) na comfortable kuliko kushindana kununua latest car ambayo ukila mzinga m 450 imepotea
Kama alikuwa na tabia za kiccm mixer bashe mwigulu and abul akapumzike jehanamu huko ndo panawastahili ccm wote
RC hakuwa vizuri kiafya ndio akamwagiza RAS amuwakilisheGari lililopata ajali ni la RC Kilimanjaro,ila lilikuwa limembeba RAS Kilimanjaro.
Kwanini RC Kilimanjaro hakuwa kwenye gari lake?
Maswalinni mengi kuliko majibu!