Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Sisi pia. Pale chuga, babu yangu ana mtaa kwa jina Lake.Tunduma tunamiliki mtaa wetu pale. Kuna mtaa mmoja una jina la ukoo fulani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi pia. Pale chuga, babu yangu ana mtaa kwa jina Lake.Tunduma tunamiliki mtaa wetu pale. Kuna mtaa mmoja una jina la ukoo fulani.
Baada ya Marehemu CPA Lupa Kwa ajali ya Gari wiki Jana huyu naye wa Songwe? Ni huzuni Sana. RIP RAS. Hapo Kwa Wasomali Hai sijui nako Pana Pepo gani WA Ajali😭😭Poleni sana wana Songwe
Inatukumbusha Profesa Ngowi na Dereva wake Kibaha 2022 wakiwahi kazini Morogoro. Dereva aliingia chini ya lorry la Contena wakafa Hapo Hapo wote.Madereva wa serikali wanakuwaga making kong sana barabarani kwasababu sheria za barabarani haziwahusu.
Well, sheria kuu ya fizikia ni kwamba "no two objects shall occupy the same space at the same time" Hii haijalishi plate number
Kuanzia mmoja wao aniparamie nikiwa nimesimama kabisa Iyovi, na nikaishia kutengeneza gari kwa gharama zangu kwasababu hawana bima, nakaa nao mbali
Mkuu cabin haijabonyea ndani, kioo hakijameguka, hata usukani haujachomoka kumfyatua dereva.Duh... nadhan hizi LC300 ni laini sana...na am sure hii ndio ya kwanza kuleta maafa makubwa sana, serikali imeyanunua kwa wingi sana despite the public outcry... nashauri wawe wananunua gari ngumu na za bei nafuu..sio hizi death traps.
Unaweza Kuta 50 yote ya mahangaiko hii nchi unaijua unaisikia.Watu wanatoboa kuanzia 50+na elimu zetu za kuungaunga.56 YRS Amekula kula
Kama unaendesha 200+kph halafu unakutana Lori wala huitaji juhudi kubwa kumfikia muumba wako.Gari ya 500M, SUV iliyo juu yenye strong chassis
Gari Mpya yenye brakes na suspension nzuri, yenye driver assist kibao, SRS airbag 8+ na mikanda mipyaa
Kupiga mzinga mpaka kufa inabidi ujutahidi sana. Mno. Si ajabu mikanda haikuvaliwa
Just because wana king'ora ndio wanasahau kuchukua tahadhari yoyote. Madereva wanasahau kwamba japo sheria inakuruhusu kwenda haimaanishi uende mzima mzima bila tahadhari.Kama unaendesha 200+kph halafu unakutana Lori wala huitaji juhudi kubwa kumfikia muumba wako.
Hawa watu wakiwa kwenye hayo mabati yanayotembea wanajihisi invincible.
RAS wa Arusha pia 2021 pale kizuiani kule ManyaraInatukumbusha Profesa Ngowi na Dereva wake Kibaha 2022 wakiwahi kazini Morogoro. Dereva aliingia chini ya lorry la Contena wakafa Hapo Hapo wote.
That's it, siyo lazima wamasai alosaini waondoke wamloge, God's watching from a distance......Sasa nimeamini uchawi upo.
Aliyesainisha documents za kuwahamisha wamasai KIA ni huyu bwana mkubwa, Leo kafia eneo Hilo Hilo lenye mgogoro kati ya serikali na wamasai.