data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Duh!!😞😞😞sio poaSasa nimeamini uchawi upo.
Aliyesainisha documents za kuwahamisha wamasai KIA ni huyu bwana mkubwa, Leo kafia eneo Hilo Hilo lenye mgogoro kati ya serikali na wamasai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!!😞😞😞sio poaSasa nimeamini uchawi upo.
Aliyesainisha documents za kuwahamisha wamasai KIA ni huyu bwana mkubwa, Leo kafia eneo Hilo Hilo lenye mgogoro kati ya serikali na wamasai.
Tuendelee kuwa na Mungu kwa hili.Kumbuka marehemu haombewi bali tunaombea waliobaki.Taarifa za awali kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Tixon Nzunda pamoja na dereva wake wamefariki dunia kwa ajali iliyotokea eneo la Mjohoroni mkoani humo.
Bado mamlaka husika hazijatoa taarifa juu ya ajali hiyo.
======
Dkt. Tixon Tuyangine Nzunda alikuwa katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, nafasi aliyoteuliwa na Rais Samia Suluhu na kuapishwa 19 Machi, 2023.
Nzunda alizaliwa January 29, 1968 na ameacha mke na watoto wanne. Aliajiriwa na Serikali mwaka 1992 kama afisa msaidizi wa elimu daraja la tatu na tangu hapo ameshika nafasi kadhaa ikiwemo katibu mkuu msaidizi utumishi, katibu tawala mkoa wa Rukwa na naibu katibu mkuu Serikali za mitaa.
Picha kutoka Maktaba.
Inaniuma hiyo gari kama yangu..Dah,.
Inasikitisha
Wanapigana ndumbaGari lililopata ajali ni la RC Kilimanjaro,ila lilikuwa limembeba RAS Kilimanjaro.
Kwanini RC Kilimanjaro hakuwa kwenye gari lake?
Maswalinni mengi kuliko majibu!
Huwa wanakimbia hovyo haswaHawa madereva wa serikali ni mawakala wa vifo
Hakuna kingineHuko serikalini ajali nyingi sana.
Ni kulogana au uzembe wa madereva??
Pole kwa wafiwa.
Wakati mwingine utakuta madereva hawana makosa, pengine walikuwa wamechelewa kwenye shughuli na maboss wengine wana kawaida ya kuwakoromea madereva na kuwafokea kabisa "kanyaga gari wewe si unaona tunachelewa"...... dereva afanyeje si lazima atii amri ya boss ananyoosha mguu matokeo yake si yanakuwa hayo.Madereva wa magari ya serikali😳
Hatele kwetu jamani kuhayaNa kama sijakosea kwao ni kama ni pale Hatelele kata ya Shiwinga.