TANZIA Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari

TANZIA Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari

Taarifa za awali kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Tixon Nzunda pamoja na dereva wake wamefariki dunia kwa ajali iliyotokea eneo la Mijohororoni mkoani humo.

Bado mamlaka husika hazijatoa taarifa juu ya ajali hiyo.

View attachment 3020136View attachment 3020137
Picha kutoka eneo ilipotokea ajali

======

Dkt. Tixon Tuyangine Nzunda alikuwa katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, nafasi aliyoteuliwa na Rais Samia Suluhu na kuapishwa 19 Machi, 2023.

Nzunda alizaliwa January 29, 1968 na ameacha mke na watoto wanne. Aliajiriwa na Serikali mwaka 1992 kama afisa msaidizi wa elimu daraja la tatu na tangu hapo ameshika nafasi kadhaa ikiwemo katibu mkuu msaidizi utumishi, katibu tawala mkoa wa Rukwa na naibu katibu mkuu Serikali za mitaa.

Picha kutoka Maktaba.

Escort ya polisi imemponza dereva wa RAS,
 

Attachments

  • IMG-20240618-WA0039.jpg
    IMG-20240618-WA0039.jpg
    54.8 KB · Views: 4
Huko serikalini ajali nyingi sana.

Ni kulogana au uzembe wa madereva??

Pole kwa wafiwa.
Juzi asubuhi nilishuhudia msafara wa kiongozi ambaye sikuweza kujua ni nani,
Speed ya magari kwenye msafara huo ilinifanya nijiulize kama hao walioko ndani ya hayo magari wataendelea kupumua baada ya kilomita 20 mbele,
Cha kushangaza sikusikia taarifa zozote za ajali siku hiyo, ile misafara ya viongozi ni hatari kwao na kwetu.
 
Taarifa za awali kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Tixon Nzunda pamoja na dereva wake wamefariki dunia kwa ajali iliyotokea eneo la Mijohororoni mkoani humo.

Bado mamlaka husika hazijatoa taarifa juu ya ajali hiyo.

View attachment 3020136View attachment 3020137
Picha kutoka eneo ilipotokea ajali

======

Dkt. Tixon Tuyangine Nzunda alikuwa katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, nafasi aliyoteuliwa na Rais Samia Suluhu na kuapishwa 19 Machi, 2023.

Nzunda alizaliwa January 29, 1968 na ameacha mke na watoto wanne. Aliajiriwa na Serikali mwaka 1992 kama afisa msaidizi wa elimu daraja la tatu na tangu hapo ameshika nafasi kadhaa ikiwemo katibu mkuu msaidizi utumishi, katibu tawala mkoa wa Rukwa na naibu katibu mkuu Serikali za mitaa.

Picha kutoka Maktaba.

Haya madereva yanayopenda kuovateki magari bila kutumia akili ya vipimo ni bure kabisa !

Yatamaliza wengi !
 
Taarifa za awali kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Tixon Nzunda pamoja na dereva wake wamefariki dunia kwa ajali iliyotokea eneo la Mjohoroni mkoani humo.

Bado mamlaka husika hazijatoa taarifa juu ya ajali hiyo.

View attachment 3020136View attachment 3020137
Picha kutoka eneo ilipotokea ajali

======

Dkt. Tixon Tuyangine Nzunda alikuwa katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, nafasi aliyoteuliwa na Rais Samia Suluhu na kuapishwa 19 Machi, 2023.

Nzunda alizaliwa January 29, 1968 na ameacha mke na watoto wanne. Aliajiriwa na Serikali mwaka 1992 kama afisa msaidizi wa elimu daraja la tatu na tangu hapo ameshika nafasi kadhaa ikiwemo katibu mkuu msaidizi utumishi, katibu tawala mkoa wa Rukwa na naibu katibu mkuu Serikali za mitaa.

Picha kutoka Maktaba.

Wanaofariki kwa siku kwa namna yoyote ile ni wengi sana.
Who is nzunda
 
Juzi asubuhi nilishuhudia msafara wa kiongozi ambaye sikuweza kujua ni nani,
Speed ya magari kwenye msafara huo ilinifanya nijiulize kama hao walioko ndani ya hayo magari wataendelea kupumua baada ya kilomita 20 mbele,
Cha kushangaza sikusikia taarifa zozote za ajali siku hiyo, ile misafara ya viongozi ni hatari kwao na kwetu.
Hao wanaokubali kuendeshwa kwa spidi kali huwa nashindwa kuwaelewa ni nini hasa huwa wanakiamini katika usalama wao wanapo kuwa kwenye gari zao ??

Huwa wanaamini breki za gari au Akili za dereva ??
Maana vyote hivyo vinaweza vikafeli wakati wowote ule 🙄
 
Back
Top Bottom