Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona airbag kama vile zipo? Na zilifumuka hadi airbag za nyuma kama sikoseiMimi sina hata Baiskeli hivyo nitashukuru tu Wataalam wa Magari na mnayoyamiliki mkinielimisha ambaye hata sina.
Umeona hapo nimewauliza Wataalam nawe tena na Ujuha waklo unaniuliza Mimi yule yule ambaye sijui lolote katika hilo.Airbag inafanyaje kazi mkuu wengine hatuelewi
Kwa maspeed yao,kikitokea cha kutokea airbag hazisaidiiMimi sina hata Baiskeli hivyo nitashukuru tu Wataalam wa Magari na mnayoyamiliki mkinielimisha ambaye hata sina.
GENTAMYCINE mi juha Tena kisa kuulizaUmeona hapo nimewauliza Wataalam nawe tena na Ujuha waklo unaniuliza Mimi yule yule ambaye sijui lolote katika hilo.
Umeuliza Kinafiki na nimekujibu Kinafiki hivyo ngoma Droo Simba na Yanga tatizo liko wapi?GENTAMYCINE mi juha Tena kisa kuuliza
Apumzike kwa amani!
Yaani Serikali inashindwa kununua Land cruiser mkonge ..au hata LX ..Duh... nadhan hizi LC300 ni laini sana...na am sure hii ndio ya kwanza kuleta maafa makubwa sana, serikali imeyanunua kwa wingi sana despite the public outcry... nashauri wawe wananunua gari ngumu na za bei nafuu..sio hizi death traps.
kumbe ni huyu jamaa ndiye aliyesababisha madhila kwa wamasai? Mungu ameamua ugomvi hakika😂Sasa nimeamini uchawi upo.
Aliyesainisha documents za kuwahamisha wamasai KIA ni huyu bwana mkubwa, Leo kafia eneo Hilo Hilo lenye mgogoro kati ya serikali na wamasai.
Kwahio unataka kufananisha safety features za usafiri wa mkonge 1HZ uliobuniwa 1976 dhidi ya gari yenye teknolojia ya 2024 kiusalama?Yaani Serikali inashindwa kununua Land cruiser mkonge ..au hata LX ..
Ni gari imara sana na nafuu kwa bei..
Haya madude sijui LC300 bei sio chini ya million 450 na ukiwa speed 150 ukaona kitu cha gafla haishiki break ..
Sijui madereva wa Serikali huwa hawatest hii migari ? Yaani hizo gari zina system ya ABS ya kudelay sana ..
Gari hizi wanatumia kodi vibaya kwa wananchi
Kwenye mninga wa msweden hatoki mtu yani, humo hata wangekuwa kwenye G Wagon ilikuwa lazma waishe tu maana chuma inaonekana ilikuwa above 160KPHHuko road wako rough sana hawa na hizi gari zao..sasa kama hapa inaonekana kaingia kwenye Mninga angalia ulichomfanya..btw apumzike kwa amani!
Kanyaga gari ndio ujipeleke kwenye mninga wa 113 huo 😁 halafu uso kwa uso. Mi kama dereva siwezi kujiua kisa boss anakoroma.Wakati mwingine utakuta madereva hawana makosa, pengine walikuwa wamechelewa kwenye shughuli na maboss wengine wana kawaida ya kuwakoromea madereva na kuwafokea kabisa "kanyaga gari wewe si unaona tunachelewa"...... dereva afanyeje si lazima atii amri ya boss ananyoosha mguu matokeo yake si yanakuwa hayo.
Gari la RC zima na RC ndio ametoa ripoti mbona.Gari lililopata ajali ni la RC Kilimanjaro,ila lilikuwa limembeba RAS Kilimanjaro.
Kwanini RC Kilimanjaro hakuwa kwenye gari lake?
Maswalinni mengi kuliko majibu!
Hamna gari ngumu kwenye ajali isipokuwa kifaru tu😂Duh... nadhan hizi LC300 ni laini sana...na am sure hii ndio ya kwanza kuleta maafa makubwa sana, serikali imeyanunua kwa wingi sana despite the public outcry... nashauri wawe wananunua gari ngumu na za bei nafuu..sio hizi death traps.
Hahahahah mkuu unadhani GWagon ingesaidia hapo?😁Kama unaendesha 200+kph halafu unakutana Lori wala huitaji juhudi kubwa kumfikia muumba wako.
Hawa watu wakiwa kwenye hayo mabati yanayotembea wanajihisi invincible.
wale waliangukiwa na container, sio ajali ya speed. Ni lorry mbili ziligongana container likavuka likawabonyeza wao.Inatukumbusha Profesa Ngowi na Dereva wake Kibaha 2022 wakiwahi kazini Morogoro. Dereva aliingia chini ya lorry la Contena wakafa Hapo Hapo wote.