Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Hasara mie inaniuma hiyo gari.. mil 450+ imepotea hapo.High speed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasara mie inaniuma hiyo gari.. mil 450+ imepotea hapo.High speed
Nchi ngumu hiiHasara mie inaniuma hiyo gari.. mil 450+ imepotea hapo.
Kama kulikuwa na escort basi mwendo lazima ulikuwa mkubwa... huyo mjinga wakimpata sijui atasema nini wamuelewe.Ukisikiliza,unaweza kusema hii ajali imetengenezwa
JamaniiHasara mie inaniuma hiyo gari.. mil 450+ imepotea hapo.
So sad really Mungu awarehemu.Taarifa za awali kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Tixon Nzunda pamoja na dereva wake wamefariki dunia kwa ajali iliyotokea eneo la Mijohororoni mkoani humo.
Bado mamlaka husika hazijatoa taarifa juu ya ajali hiyo.
======
Dkt. Tixon Tuyangine Nzunda alikuwa katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, nafasi aliyoteuliwa na Rais Samia Suluhu na kuapishwa 19 Machi, 2023.
Nzunda alizaliwa January 29, 1968 na ameacha mke na watoto wanne. Aliajiriwa na Serikali mwaka 1992 kama afisa msaidizi wa elimu daraja la tatu na tangu hapo ameshika nafasi kadhaa ikiwemo katibu mkuu msaidizi utumishi, katibu tawala mkoa wa Rukwa na naibu katibu mkuu Serikali za mitaa.
Picha kutoka Maktaba.
OopsUkisikiliza,unaweza kusema hii ajali imetengenezwa
Oya The Sunk Cost Fallacy 2 acha masikhara tuko msibaniTukamzike na ukifika huko tutafutane 😆😆,he was my village mate
Mmh kifo kingejua angalau kije at 70+ ,sasa 56 alibakiza 4yr astaafu ale mafao,bado sio hakiMiaka 56 ni Ujana?
Hakuna cha kurogana wala nini, nyingi ni uzembe wa madereva na kupenda mwendo wa ngiri kisingizio Kuna kazi maalumu wanawahi, lakini pia serikali Haina speed limit Kwa gari maana mashirika ya kimataifa na taasisi mbalimbali za mabeberu aka wafadhiri huwa Wana speed limit lakini kikubwa ikifika saa 12 jioni dereva park tafuta hotel lala mpaka asubuhi na gari ikitembea zaidi ya huo muda basi staff aliepo kwenye hiyo gari lazima apaki pembeni aandike email ya kwanini asafiri zaidi ya muda huo (akipewa go ahead anaendelea na safari)Huko serikalini ajali nyingi sana.
Ni kulogana au uzembe wa madereva??
Pole kwa wafiwa.
Mafao huwa ni ya mstaafu, mke na familia hivyo kama ameondoka haki yake atapewa mke kama watoto wote wanajitegemeaMmh kifo kingejua angalau kije at 70+ ,sasa 56 alibakiza 4yr astaafu ale mafao,bado sio haki
Wanaangalia mteule tu wa RaisTaarifa inasema RAS na dereva wake wote wamefariki kwnye ajali lkn taarifa zote za ziada zinatoa maelezo kumhusu RAS peke yake hata RIP za wasomaji zinamlenga RAS pekee, najiuliza tu huyu dereva na familia yake hawaihitaji hizo RIP na faraja kwa kuondokewa na mpendwa wao au sio kipaumbele!?
Anyway RIP kwa wote waliopoteza maisha na Mungu awe mfariji kwa wafiwa wote.
Rip RAS....Taarifa za awali kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Tixon Nzunda pamoja na dereva wake wamefariki dunia kwa ajali iliyotokea eneo la Mijohororoni mkoani humo.
Bado mamlaka husika hazijatoa taarifa juu ya ajali hiyo.
======
Dkt. Tixon Tuyangine Nzunda alikuwa katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, nafasi aliyoteuliwa na Rais Samia Suluhu na kuapishwa 19 Machi, 2023.
Nzunda alizaliwa January 29, 1968 na ameacha mke na watoto wanne. Aliajiriwa na Serikali mwaka 1992 kama afisa msaidizi wa elimu daraja la tatu na tangu hapo ameshika nafasi kadhaa ikiwemo katibu mkuu msaidizi utumishi, katibu tawala mkoa wa Rukwa na naibu katibu mkuu Serikali za mitaa.
Picha kutoka Maktaba.
ALIE KUAMBIA ISRAEL NDIO ANAE WINDA ROHO ZA WATU NI NANI ACHA KUCHAFUA MAJINAHii dunia sio rafiki,pale unapokaa nakujisemea huu ndo muda wa kula matunda ya jasho langu hapo hapo na izrael naye anakuwinda ,ni bora kutokuzaliwa kuliko kufa katika umri wa ujana
Pole Sana 🐼Tukamzike na ukifika huko tutafutane 😆😆,he was my village mate