Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
TANZIA Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara anasikitika kutangaza kifo Cha Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu ndg Jeswald S. Majuva aliyefariki usiku wa kuamkia tarehe 12/3/2021.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Unamaanisha nini? Wamewakolimba auKwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Na huyu jamaa alikosa kabisa picha nyingine zaidi ya hi?Kwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
💃🕺💃🕺🤸🏽♀️🤸🏾♂️🤸🏽♀️🤸🏾♂️🤸🏽♀️🤸🏾♂️🤸🏽♀️🤸🏾♂️Kwenye hiyo picture wote isipokuwa JPM wamekufa. Ewe mwenyezi Mungu wajalie pepo njema na utupe afya njema wote tulio hai siku ya leo ili tuendelee kukuabudu wewe. Amen.
Mzigo ukiingia mapafuni kibongobongo hautoki.Duh! Ina maana hili likirusi la Korona linakaa mwilini muda mrefu hivyo kwa maelezo ya hiyo picha? Mbona hatari!